Zanzibar: Japo SMZ ya SUK sio de jure tena bali ni de facto, lakini ipo!, na hakuna aliyejiuzulu!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,442
113,452
Wanabodi,

Kuna serikali za aina mbili, de jure, kwa mujibu wa sheria, na de facto, zilizotokana na mapinduzi, lakini zote ni serikali halisi, ziwe ni halali au si halali hazihusiani na uhalisi wa uwepo wake, hivyo Serikali ya mwanzo ya Zanzibar, yaani SMZ iliyokuwa chini ya Baraza la Mapinduzi, ilikuwa ni serikali De Facto, baada ya kuipindua serikali halali ya Waziri Mkuu Shamte, iliyokuwa De Jure.

Serikali hii De Factor iliongoza Zanzibar kwa kipindi cha miaka 11, hadi mwaka 1975 ilijigeuza De Jure kwa kutafuta uhalali wa kuchaguliwa na wananchi, hivyo tangu hapo, SMZ japo imekuwa ikiendelea kutumia jina la SMZ, hili ni SMZ jina tuu, ila serikali sio Kimapinduzi tena bali ni ya kidemokrasia iliyochaguliwa na watu, na kuongozwa na Baraza la Mapinduzi jina tuu lakini sio lile Baraza kweli la Mapinduzi, na slogan ya "Mapinduzi Daima" kubaki luwa ni slogan tuu, lakini mapinduzi yaliisha pita na yaliisha kwisha kwa kufanyika uchaguzi iliyoibadili haramu kuwa halali, kutoka de facto na kuwa de jure!.

Kwa vile muda wa serikali halali kuwepo madarakani ni miaka 5!, baada ya kumalizika hiyo miaka 5, hapo ndipo uhalali wa kisheria wa serikali iliyopo ulipofika ukomo, and for whataever the case, the reasons or the circumstances zilizopelekea serikali hii kuendelea kuwepo madarakani baada ya muda wake wa kisheria kumalizika, kunaibadili tuu status ya serikali hiyo kutoka kuwa ni serikali ya de jure, na kuigeuza ni de facto by default ya circumstances ya hakuna wa kumkabidhi madaraka!, huwezi kuiacha nchi kwenye vacuum!.

Nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kutokana na mchango wa mwana jf huyu, mr.London, alyechangia kwenye uzi huu
Mabadiliko ya ghafla ya uongozi wa Benki ya watu Zanzibar (PBZ)
Ivi tokea uchaguz ufutwe Zanzibar kipindi cha miaka 5 kumalizika lini ulimsikia maalim seif akijiita Makamu wa kwanza Zanzibar? lini ulisikia mawaziri wa CUF wakiendelea kuwa mawaziri?

hilo ombi lako ungeliekeza zaidi kwa Dr. shein ambae amemaliza muda wake miaka 5 kikatiba lakin bado anajiita rais wa Zanzibar ilhali uchaguz umefutwa hakuna rais Zanzibar muda wk ulikwisha toka Nov 2. nadhan ungelekeza huko mtazamo wako wa maandamano.
mr.London

  1. Umakamo wa rais au uwaziri, hautolewi kwa matamko ya kusimama jukwaani na kutamka "mimi makamo wa rais, au mimi waziri!", umakamo wa rais na uwaziri, unatolewa kwa barua ya uteuzi na unamalizika au kwa kujiuzulu mwenyewe kwa barua na sio kwa kauli, au kwa kufukuzwa kwa barua na sio kwa kauli, au kwa kumalizika muda wake wa kikatiba wa miaka mitano.
  2. Hakuna yoyote kati ya hayo matatu yamefanyika!, wale mawaziri wa CUF ndani ya SUK wametamka kujiuzulu, hakuna aliyeandika barua ya kujiuzulu na kwa taarifa yako mpaka leo, wanapokea mishahara yao na marupurupu yote!. Kama ni kweli CUF ina nia ya dhati kuutangazia ulimwengu kuwa Zanzibar iko kwenye vacuum ya uongozi, wajiuzulu kwa barua na murejeshe mishahara na marupurupu waliyolipwa baada ya muda wa uhai wa SMZ kumalizika!.
  3. Ni kweli muda wa kikatiba wa kuwepo madarakani kwa SMZ umekwisha na umepita, hivyo SMZ ni kweli kisheria na kikatiba sio seikali halali kwa mujibu wa sheria na mujibu wa katiba yaani de jure government bali ni de facto due to circumstances za kutokuwepo wa kumkabidhi nchi, kuliko kuacha vacuum, ZMZ imejiextendisha muda wake hadi serikali mpya ipatikane!. Taasisi pekee yenye mamlaka ya kutafsiri sheria kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar sio Maalim Seif, sio Jussa, sio wanasheria na wala sio wanasiasa bali ni Mahakama Kuu ya Zanzibar ndio pekee yenye mamlaka ya kutoa tamko kuhusu uhalali wa SMZ and no one else.
Kwa nini mpaka sasa hakuna yoyote aliyechuka hatua muhimu kufungua shauri la kuomba mahakama kutoa tafsiri sahihi ya status ya SMZ?!.
Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila kuchukua hatua zozote

Pasco
 
CUF sio wajinga kama unavyofikiria wewe, CUF wanao watu wengi ambao sharia kwao imebobea na wanaielewa vyema, mmoja wapo ni Mh. Aboubak Khamis ambaye ndie alieiandika Katiba ya kwanza ya Zanzibar tokea mapinduzi, Katiba ya 1982, wapo wengine akina Jussa n.k

CUF hawawezi kuingia katika mtego wa kwenda mahakamani halafu ikawa kama njia moja wapo ya kuihalalisha serikali ya shein iliyoisha muda wake ili iendelea kutawala Zanzibar kisa tu kesi iko mahakamani!! Ninani asiejua kuwa ni Mara chache mno mahakama zetu zimekuwa zikitoa hukumu kwa wakati unaotakiwa!!!

Mifano iko hai juu ya haya ninayoyaeleza, iliyokuwa kesi ya uhaini ya mh Juma Duni na wenzake ilichukua miaka mitatu hadi pale ilipotolewa hukumu nakuonekana huwezi kuifanya uhaini kwa Zanzibar pekee "tayari wameshateseka kwa miaka mitatu"

Kesi ya Sh. Ponda iliyohukumiwa juzi na kuonekana hakuna ushahidi " tayari ameshateseka ndani Kwa muda wa miaka 2.3"

Kesi inayowakabili jumiya ya UAMSHO huu sasa ni mwaka wa NNE wako ndani na mateso juu lakini hadi kufikia leo ushahidi wa kuwatia hatiani haujapatikana "labda tarehe 10 mwezi huu wanaweza wakawa huru tusubiri tuone maana DPP amewaita tena Zanzibar"

Hivyo ndugu usiwachukulie POA hivyo CUF na ukawaona hawayajui haya na wala hawazijui sheria zikoje!!! CUF wako makini mno juu ya hili na wala hawatokurupuka.

MWISHO NI KUWA USIHOFU WALA KUWA NA MASHAKA NA CUF MAANA MARA HII WAKO VERY VERY STRONG NA NAKUAHIDI KUWA MARA HII MTARIMBO UMEWAKAA CCM ZANZIBAR NA SAFARI YA ZANZIBAR KUELEKEA KUWA SINGAPORE YA AFRICA CHINI YA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA AMBAYO ITAKUWA CHINI YA JEMEDARI MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD HAIKO MBALI TENA.

Inshaalla karibuni tu ile kauli yako ya kuwa maalim Seif hapewi nchi itakuja kukusuta wewe mwenyewe!!! Wewe uliweke mbele zaidi uwezo wa mwanadamu na ukasahau uwezo wa muumba "M/Mungu"

Kuhusu CUF kuchukua mshahara huo ni ujinga wa wanaojifanya wana mamlaka maana tayari muda wa mawaziri na manaibu waziri wa CUF ulishamalizika na tayari walisharudisha vitendea kazi vya serikali vikiwemo Gari!! Kuhusu eskoti ya maalim labda ungetuweka sawa kuhusu eskoti ya mkapa, mwinyi n.k
 
Wanabodi,

Kuna serikali za aina mbili, de jure, kwa mujibu wa sheria, na de facto, zilizotokana na mapinduzi, lakini zote ni serikali halisi, ziwe ni halali au si halali hazihusiani na uhalisi wa uwepo wake, hivyo Serikali ya mwanzo ya Zanzibar, yaani SMZ ilikuwa ni serikali De Facto, baasda ya kuipindua serikali ya Waziri Mkuu Shamte, iliyokuwa De Jure.

Serikali hii De Factor iliongoza Zanzibar hadi mwaka 1975 ilijigeuza De Jure kwa kutafuta uhalali wa kuchaguliwa na wananchi, hivyo tangu hapo, SMZ japo imekuwa ikiendelea kutumia jina la SMZ, hili ni SMZ jina tuu, ila serikali sio Kimapinduzi tena bali ni ya kidemokrasia iliyochaguliwa na watu, na kuongozwa na Baasa la Mapinduzi jina tuu lakini sio lile Baraza kweli la Mapinduzi, na slogan ya "Mapinduzi Daima" kubaki luwa ni slogan tuu, lakini mapinduzi yaliisha pita na yaliisha kwisha kwa kufanyika uchaguzi iliyoibadili haramu kuwa halali, kutoka de facto na kuwa de jure!.

Kwa vile muda wa serikali halali kuwepo madarakani ni miaka 5!, baada ya kumalizika hiyo miaka 5, hapo ndipo uhalali wa kisheria wa serikali iliyopo ulipofika ukomo, and for whataever the case or the circumstances zilizopelekea serikali hii kuendelea kuwepo madarakani baada ya muda wake wa kisheria kumalizika, kunaibadili tuu status ya serikali hiyo kutoka kuwa ni serikali ya de jure, na kuigeuza ni de facto by default ya circumstances ya hakuna wa kumkabidhi madaraka!, huwezi kuiacha nchi kwenye vacuum!.

Nimekuwa inspired kupandisha bandiko liko kutokana na mchango wa mwana jf huyu, mr.London, alyechangia kwenye uzi huu
[h=1]Mabadiliko ya ghafla ya uongozi wa Benki ya watu Zanzibar (PBZ)[/h]mr.London

  1. Umakamo wa rais au uwaziri, hautolewi kwa matamko ya kusimama jukwaani na kutamka "mimi makamo wa rais, au mimi waziri!", umakamo wa rais na uwaziri, unatolewa kwa barua ya uteuzi na unamalizika au kwa kujiuzulu mwenyewe kwa barua na sio kwa kauli, au kwa kufukuzwa kwa barua na sio kwa kauli, au kwa kumalizika muda wake wa kikatiba wa miaka mitano.
  2. Hakuna yoyote kati ya hayo matatu yamefanyika!, wale mawaziri wa CUF ndani ya SUK wametamka kujiuzulu, hakuna aliyeandika barua ya kujiuzulu na kwa taarifa yako mpaka leo, wanapokea mishahara yao na marupurupu yote!. Kama ni kweli CUF ina nia ya dhati kuutangazia ulimwengu kuwa Zanzibar iko kwenye vacuum ya uongozi, wajiuzulu kwa barua na murejesha mishahara na marupurupu waliyolipwa baada ya muda wa uhai wa SMZ kumalizika!.
  3. Ni kweli muda wa kikatiba wa kuwepo madarakani kwa SMZ umekwisha na umepita, hivyo SMZ ni kweli kisheria na kikaiba sio seikali halali kwa mujibu wa sheria na mujibu wa katiba yaani de jure government bali ni de facto due to circumstances za kutokuwepo wa kumkabidhi nchi, kuliko kuacha vacuum, ZMZ imejiextendisha muda wake hadi serikali mpya ipatikane!. Taasisi pekee yenye mamlaka ya kutafsiri sheria kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar sio Maalim Seif, sio Jussa, sio wanasheria na wala sio wanasiasa bali ni Mahakama Kuu ya Zanzibar ndio pekee yenye mamlaka ya kutoa tamko kuhusu uhalali wa SMZ and no one else.
Kwa nini mpaka sasa hakuna yoyote aliyechuka hatua muhimu kufungua shauri la kuomba mahakama kutoa tafsiri sahihi ya status ya SMZ?!.
Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila kuchukua hatua zozote

Pasco

Nani alikwambia mawziri wa CUF walijiuzulu na hawakupeleka barua haya mambo munayapata wapi??

Wale mawaziri walisema sisi mkataba wetu kuwa mawaziri ilikuwa ni miaka 5 na sasa imekwisha kwahiyo automatically kisheria sisi si mawaziri tena na tumeacha ofisi na kurejesha magari ya ofisi na kila kitu kwa sababu muda kisheria umekwisha hapa barua ni ya kazi gani tena ambayo unahisi iandikwe?? Ivi Mhe. Pinda aliandika barua ya kujiuzulu kwa JK baada ya kumaliza muda wake wa uwaziri mkuu??

Labda uniambie kama kuna kifungu cha sharia waziri muda wake ukiisha lazima apeleke barua si dhani kama hicho kifungu unacho.

Hiyo mishahara kama wizara ya fedha kama inavyojiita imewaingizia kwenye account zao sidhali kama kuna wa kulaumiwa kwa vile wao tayari walishatamka muda wao kwisha kikatiba kuwa mawaziri.

Halafu hata kama kuna hizo circumstances za kutokuwepo wa kumkabidhi nchi, Je sheria inaelekeza hivyo Dr Shein na watu wake waendelee kujiita rais na nyadhifa zao kama zamani ilihali katiba na sheria imetamka wazi wataongoza kwa kipindi cha miaka 5 tu na sasa ilikwisha tokea Nov 2??.

Jengine ni kwamba CCM ukiwauliza wao watajibu maalim seif ni makamo wa kwanza wa Rais kwa sababu wao wana interest kuendelea kubaki madarakan kidikteta kama wewe ulivyo lakini kama utachunguza au kuangalia kawaida hakuna mwana CUF wala mtu anayejuwa ukweli huu na kumuita maalim seif makamo wa Kwanza wa Rais kwa sababu twaelewa kisheria muda wake ulikuwa 5 years mapaka rais atangazwe amteue mkamu mpya.

Hili kwamba mpaka sasa hakuna yoyote aliyechukua hatua muhimu jambo hili kutafuta fatwa Mahkamani ili itowe tafsiri sahihi ya SMZ kuendelea nadhan ndio tatizo lakini kama unavyozijuwa Mahkama zetu madam majaji na makamishna wametaeuliwa na Rais anashikilia madaraka tusitegemee jipya kwenye ukweli wa huu lazima itatafutwa namna ili Dr aendelee nadhan lilionekana hili likaonekana halina uzito kwa sasa wameona bora waende kwenye mazungumzo ambayo labda yanaendelea.

Mi nilidhani labda ungeshauri ifunguliwe kesi Mahkama ya Kimataifa ICC kwa vile haki zetu tumepunjwa jambo ambalo mimi nalifikiria pia lingepush dhulma hii ambayo CCM wanaitafuta namna kubaki madarakani ilhali wameshindwa uchaguzi.
 
CUF sio wajinga kama unavyofikiria wewe, CUF wanao watu wengi ambao sharia kwao imebobea na wanaielewa vyema, mmoja wapo ni Mh. Aboubak Khamis ambaye ndie alieiandika Katiba ya kwanza ya Zanzibar tokea mapinduzi, Katiba ya 1982, wapo wengine akina Jussa n.k

CUF hawawezi kuingia katika mtego wa kwenda mahakamani halafu ikawa kama njia moja wapo ya kuihalalisha serikali ya shein iliyoisha muda wake ili iendelea kutawala Zanzibar kisa tu kesi iko mahakamani!! Ninani asiejua kuwa ni Mara chache mno mahakama zetu zimekuwa zikitoa hukumu kwa wakati unaotakiwa!!!

Mifano iko hai juu ya haya ninayoyaeleza, iliyokuwa kesi ya uhaini ya mh Juma Duni na wenzake ilichukua miaka mitatu hadi pale ilipotolewa hukumu nakuonekana huwezi kuifanya uhaini kwa Zanzibar pekee "tayari wameshateseka kwa miaka mitatu"

Kesi ya Sh. Ponda iliyohukumiwa juzi na kuonekana hakuna ushahidi " tayari ameshateseka ndani Kwa muda wa miaka 2.3"

Kesi inayowakabili jumiya ya UAMSHO huu sasa ni mwaka wa NNE wako ndani na mateso juu lakini hadi kufikia leo ushahidi wa kuwatia hatiani haujapatikana "labda tarehe 10 mwezi huu wanaweza wakawa huru tusubiri tuone maana DPP amewaita tena Zanzibar"

Hivyo ndugu usiwachukulie POA hivyo CUF na ukawaona hawayajui haya na wala hawazijui sheria zikoje!!! CUF wako makini mno juu ya hili na wala hawatokurupuka.

MWISHO NI KUWA USIHOFU WALA KUWA NA MASHAKA NA CUF MAANA MARA HII WAKO VERY VERY STRONG NA NAKUAHIDI KUWA MARA HII MTARIMBO UMEWAKAA CCM ZANZIBAR NA SAFARI YA ZANZIBAR KUELEKEA KUWA SINGAPORE YA AFRICA CHINI YA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA AMBAYO ITAKUWA CHINI YA JEMEDARI MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD HAIKO MBALI TENA.

Inshaalla karibuni tu ile kauli yako ya kuwa maalim Seif hapewi nchi itakuja kukusuta wewe mwenyewe!!! Wewe uliweke mbele zaidi uwezo wa mwanadamu na ukasahau uwezo wa muumba "M/Mungu"

Kuhusu CUF kuchukua mshahara huo ni ujinga wa wanaojifanya wana mamlaka maana tayari muda wa mawaziri na manaibu waziri wa CUF ulishamalizika na tayari walisharudisha vitendea kazi vya serikali vikiwemo Gari!! Kuhusu eskoti ya maalim labda ungetuweka sawa kuhusu eskoti ya mkapa, mwinyi n.k

Hakika nachoweza kuchanga hapa na neno AMINA,
 
CUF sio wajinga kama unavyofikiria wewe, CUF wanao watu wengi ambao sharia kwao imebobea na wanaielewa vyema, mmoja wapo ni Mh. Aboubak Khamis ambaye ndie alieiandika Katiba ya kwanza ya Zanzibar tokea mapinduzi, Katiba ya 1982, wapo wengine akina Jussa n.k

CUF hawawezi kuingia katika mtego wa kwenda mahakamani halafu ikawa kama njia moja wapo ya kuihalalisha serikali ya shein iliyoisha muda wake ili iendelea kutawala Zanzibar kisa tu kesi iko mahakamani!! Ninani asiejua kuwa ni Mara chache mno mahakama zetu zimekuwa zikitoa hukumu kwa wakati unaotakiwa!!!

Mifano iko hai juu ya haya ninayoyaeleza, iliyokuwa kesi ya uhaini ya mh Juma Duni na wenzake ilichukua miaka mitatu hadi pale ilipotolewa hukumu nakuonekana huwezi kuifanya uhaini kwa Zanzibar pekee "tayari wameshateseka kwa miaka mitatu"

Kesi ya Sh. Ponda iliyohukumiwa juzi na kuonekana hakuna ushahidi " tayari ameshateseka ndani Kwa muda wa miaka 2.3"

Kesi inayowakabili jumiya ya UAMSHO huu sasa ni mwaka wa NNE wako ndani na mateso juu lakini hadi kufikia leo ushahidi wa kuwatia hatiani haujapatikana "labda tarehe 10 mwezi huu wanaweza wakawa huru tusubiri tuone maana DPP amewaita tena Zanzibar"

Hivyo ndugu usiwachukulie POA hivyo CUF na ukawaona hawayajui haya na wala hawazijui sheria zikoje!!! CUF wako makini mno juu ya hili na wala hawatokurupuka.

MWISHO NI KUWA USIHOFU WALA KUWA NA MASHAKA NA CUF MAANA MARA HII WAKO VERY VERY STRONG NA NAKUAHIDI KUWA MARA HII MTARIMBO UMEWAKAA CCM ZANZIBAR NA SAFARI YA ZANZIBAR KUELEKEA KUWA SINGAPORE YA AFRICA CHINI YA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA AMBAYO ITAKUWA CHINI YA JEMEDARI MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD HAIKO MBALI TENA.

Inshaalla karibuni tu ile kauli yako ya kuwa maalim Seif hapewi nchi itakuja kukusuta wewe mwenyewe!!! Wewe uliweke mbele zaidi uwezo wa mwanadamu na ukasahau uwezo wa muumba "M/Mungu"

Kuhusu CUF kuchukua mshahara huo ni ujinga wa wanaojifanya wana mamlaka maana tayari muda wa mawaziri na manaibu waziri wa CUF ulishamalizika na tayari walisharudisha vitendea kazi vya serikali vikiwemo Gari!! Kuhusu eskoti ya maalim labda ungetuweka sawa kuhusu eskoti ya mkapa, mwinyi n.k

Big up mkuu..! uyu PESCO ni nani humu jf? analialia na ccm ata kama hana hoja zenye mashiko
 
Big up mkuu..! uyu PESCO ni nani humu jf? analialia na ccm ata kama hana hoja zenye mashiko
Ni mwana jf mwenye special interest na Zanzibar for special reasons na ameishawahi hadi kulala Mwembe Madema kwa kuipigania Zanzibar, wakati kuna watu humu wanajiita watetezi wa Zanzibar, ila utetezi wao ni kuishia pale Forodhani kwenye urojo tuu!.

Hizi ni baadhi ya mada za uyu PESCO. Anazo dazeni tatu za mada kuhusu Zanzibar, hii dazeni moja tuu, ukitaka na hizo dazeni mbili zilizobakia naweza kukuwekea ila uwe na kifua cha kustahamili!.
[h=2]Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila
Re: Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muung

Topic: Kumuepushia aibu ya Kushindwa, CCM isimsimamishe

Kifo cha CUF
hichoo..chaja! Upinzani kubaki CHADEMA

Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Mas

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufuk
Je, wajua kuwa kuna uwezekano Tanzania sio nchi halali Kish
Jee Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?.

Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana G

Bunge Maalum Lapigwa Changa la Macho!? Lapewa"Act of Unio

'Karume Hakuyakimbia Mapinduzi ya ZnZ'-Karume Jnr

Mama Fatma Karume athibitisha Karume hakushiriki Mapinduzi
Pesco
[/h]
 
CUF sio wajinga kama unavyofikiria wewe, CUF wanao watu wengi ambao sharia kwao imebobea na wanaielewa vyema, mmoja wapo ni Mh. Aboubak Khamis ambaye ndie alieiandika Katiba ya kwanza ya Zanzibar tokea mapinduzi, Katiba ya 1982, wapo wengine akina Jussa n.k

CUF hawawezi kuingia katika mtego wa kwenda mahakamani halafu ikawa kama njia moja wapo ya kuihalalisha serikali ya shein iliyoisha muda wake ili iendelea kutawala Zanzibar kisa tu kesi iko mahakamani!! Ninani asiejua kuwa ni Mara chache mno mahakama zetu zimekuwa zikitoa hukumu kwa wakati unaotakiwa!!!

Mifano iko hai juu ya haya ninayoyaeleza, iliyokuwa kesi ya uhaini ya mh Juma Duni na wenzake ilichukua miaka mitatu hadi pale ilipotolewa hukumu nakuonekana huwezi kuifanya uhaini kwa Zanzibar pekee "tayari wameshateseka kwa miaka mitatu"

Kesi ya Sh. Ponda iliyohukumiwa juzi na kuonekana hakuna ushahidi " tayari ameshateseka ndani Kwa muda wa miaka 2.3"

Kesi inayowakabili jumiya ya UAMSHO huu sasa ni mwaka wa NNE wako ndani na mateso juu lakini hadi kufikia leo ushahidi wa kuwatia hatiani haujapatikana "labda tarehe 10 mwezi huu wanaweza wakawa huru tusubiri tuone maana DPP amewaita tena Zanzibar"

Hivyo ndugu usiwachukulie POA hivyo CUF na ukawaona hawayajui haya na wala hawazijui sheria zikoje!!! CUF wako makini mno juu ya hili na wala hawatokurupuka.

MWISHO NI KUWA USIHOFU WALA KUWA NA MASHAKA NA CUF MAANA MARA HII WAKO VERY VERY STRONG NA NAKUAHIDI KUWA MARA HII MTARIMBO UMEWAKAA CCM ZANZIBAR NA SAFARI YA ZANZIBAR KUELEKEA KUWA SINGAPORE YA AFRICA CHINI YA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA AMBAYO ITAKUWA CHINI YA JEMEDARI MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD HAIKO MBALI TENA.

Inshaalla karibuni tu ile kauli yako ya kuwa maalim Seif hapewi nchi itakuja kukusuta wewe mwenyewe!!! Wewe uliweke mbele zaidi uwezo wa mwanadamu na ukasahau uwezo wa muumba "M/Mungu"

Kuhusu CUF kuchukua mshahara huo ni ujinga wa wanaojifanya wana mamlaka maana tayari muda wa mawaziri na manaibu waziri wa CUF ulishamalizika na tayari walisharudisha vitendea kazi vya serikali vikiwemo Gari!! Kuhusu eskoti ya maalim labda ungetuweka sawa kuhusu eskoti ya mkapa, mwinyi n.k
Pasco aliyekutuma mwambie aje asome hii
 
Last edited by a moderator:
Nani alikwambia mawziri wa CUF walijiuzulu na hawakupeleka barua haya mambo munayapata wapi??

Wale mawaziri walisema sisi mkataba wetu kuwa mawaziri ilikuwa ni miaka 5 na sasa imekwisha kwahiyo automatically kisheria sisi si mawaziri tena na tumeacha ofisi na kurejesha magari ya ofisi na kila kitu kwa sababu muda kisheria umekwisha hapa barua ni ya kazi gani tena ambayo unahisi iandikwe?? Ivi Mhe. Pinda aliandika barua ya kujiuzulu kwa JK baada ya kumaliza muda wake wa uwaziri mkuu??

Labda uniambie kama kuna kifungu cha sharia waziri muda wake ukiisha lazima apeleke barua si dhani kama hicho kifungu unacho.
Maadam mvutano ni SMZ ipo ama haipo, haijalishi ni kisheria, kimabavu au kiubabe tuu, ili CUF kujitenga na hiyo SMZ batili, huoni kama ingekuwa ni busara kuandika barua rasmi kuwa CUF sio sehemu ya uchafu huo?!. Kitendo cha viongozi wa CUF kujitanabaisha hawamo, huku wakiendelea kutafuna posho na mishahara, kunahalalisha wao kuwa ni sehemu ya SMZ!.

Hili ni kama lile la muungano, Karume ameusaini, lakini hakuna popote Bazara la Mapinduzi, limeridhia, hivyo muungano wetu ungekuwa ni batili, lakini Zanzibar imejituliza kimya na kutekeleza majukumu yake ya kimuungano hivyo kuupa uhalali muungano huu hadi leo!.

Ni kama ukimtwaa mwanamke kwa nguvu, kwa kumbaka ili kumlazimisha awe mke wako, mwanamke huyo, japo alibakwa, lakini akiendelea kutulia nyumbani kwako, huku akitimiza majukumu ya ndoa na hadi kukuzalia wana, mwanamke huyu atasemekana ameridhia kuwa na wewe!, kisheria anakuwa ni mkeo halali na hawezi tena kuamua kuachana na wewe eti kisa kabakwa!.

SMZ imebaka demokrasia huko Zanzibar, hatua za kuchukua kuuelezea ubakwaji huu, mnazijua lakini hamchukui, tunachukulia mmeridhia ubakwaji huo!, msinge ridhia, mgechukua hatua stahiki!.

Kutokuchukua hatua zozote stahiki, kisheria ni kukaa kimya, na kukaa kinya kisheria kunatafsiriwa ni kukubali, hivyo CUF imeikubali hali hiyo kwa ridhaa yake yenyewe!.

Hiyo mishahara kama wizara ya fedha kama inavyojiita imewaingizia kwenye account zao sidhali kama kuna wa kulaumiwa kwa vile wao tayari walishatamka muda wao kwisha kikatiba kuwa mawaziri.
Watu waadilifu wakilipwa kwa makosa, husema, na kisha kuyarudiosha malipo hayo ambayo halali!, lakini huku kuita SMZ ni serikali haramu, ila malipo yake ndio halali, huku ni kuihalalisha haramu kuigeuza halali, kwa nilivyowahi kusikia, haiwezekani kuigeuza haramu kuwa halali!, hata mwana, akizaliwa haramu, hata kama hatimaye utakuja kumuoa mama yake kumfanya ndio mkeo, hatakutahalalisha haramu iliyotangulia kifanya halali!. Kama SMZ ni haramu, kataeni haramu hiyo na mambo yake yote myakatae!.

Mi nilidhani labda ungeshauri ifunguliwe kesi Mahkama ya Kimataifa ICC kwa vile haki zetu tumepunjwa jambo ambalo mimi nalifikiria pia lingepush dhulma hii ambayo CCM wanaitafuta namna kubaki madarakani ilhali wameshindwa uchaguzi.
Nilidhani unajua ICC ina deal na issues gani, hata hivyo ziko mahakama za kimataifa zinazoweza kulisikiliza shauri hili, ila sheria ya kupeleka kesi huko zinalazimishwa kwanza one has to exost local remedies ndipo aende kule, wakimaanisha kwanza anza na sheria za nyumbani, za ndani zikishindikana ndipo uende kule!. Utakuwa mtu wa ajabu sana kudharau chako na kuthamini cha mwenzio!.

Pasco
 
Maadam mvutano ni SMZ ipo ama haipo, haijalishi ni kisheria, kimabavu au kiubabe tuu, ili CUF kujitenga na hiyo SMZ batili, huoni kama ingekuwa ni busara kuandika barua rasmi kuwa CUF sio sehemu ya uchafu huo?!. Kitendo cha viongozi wa CUF kujitanabaisha hawamo, huku wakiendelea kutafuna posho na mishahara, kunahalalisha wao kuwa ni sehemu ya SMZ!.

Hili ni kama lile la muungano, Karume ameusaini, lakini hakuna popote Bazara la Mapinduzi, limeridhia, hivyo muungano wetu ungekuwa ni batili, lakini Zanzibar imejituliza kimya na kutekeleza majukumu yake ya kimuungano hivyo kuupa uhalali muungano huu hadi leo!.

Ni kama ukimtwaa mwanamke kwa nguvu, kwa kumbaka ili kumlazimisha awe mke wako, mwanamke huyo, japo alibakwa, lakini akiendelea kutulia nyumbani kwako, huku akitimiza majukumu ya ndoa na hadi kukuzalia wana, mwanamke huyu atasemekana ameridhia kuwa na wewe!, kisheria anakuwa ni mkeo halali na hawezi tena kuamua kuachana na wewe eti kisa kabakwa!.

SMZ imebaka demokrasia huko Zanzibar, hatua za kuchukua kuuelezea ubakwaji huu, mnazijua lakini hamchukui, tunachukulia mmeridhia ubakwaji huo!, msinge ridhia, mgechukua hatua stahiki!.

Kutokuchukua hatua zozote stahiki, kisheria ni kukaa kimya, na kukaa kinya kisheria kunatafsiriwa ni kukubali, hivyo CUF imeikubali hali hiyo kwa ridhaa yake yenyewe!.

Watu waadilifu wakilipwa kwa makosa, husema, na kisha kuyarudiosha malipo hayo ambayo halali!, lakini huku kuita SMZ ni serikali haramu, ila malipo yake ndio halali, huku ni kuihalalisha haramu kuigeuza halali, kwa nilivyowahi kusikia, haiwezekani kuigeuza haramu kuwa halali!, hata mwana, akizaliwa haramu, hata kama hatimaye utakuja kumuoa mama yake kumfanya ndio mkeo, hatakutahalalisha haramu iliyotangulia kifanya halali!. Kama SMZ ni haramu, kataeni haramu hiyo na mambo yake yote myakatae!.

Nilidhani unajua ICC ina deal na issues gani, hata hivyo ziko mahakama za kimataifa zinazoweza kulisikiliza shauri hili, ila sheria ya kupeleka kesi huko zinalazimishwa kwanza one has to exost local remedies ndipo aende kule, wakimaanisha kwanza anza na sheria za nyumbani, za ndani zikishindikana ndipo uende kule!. Utakuwa mtu wa ajabu sana kudharau chako na kuthamini cha mwenzio!.

Pasco

CUF inadike barua kumpelekea ama kumuadress nani?? Uchaguzi umefanyika Jecha amefuta uchaguzi, Dr Shein na Maalim wote ni wagombewa wana hadhi sawa haijalishi kwamba Dr kabla ya uchaguzi alikuwa rais. Yeye ameruka tu baada ya uchaguzi kufutwa na kujitangaza ataendelea kuwa rais.

Mimi nadhan kwanza ungejiridhisha na upande wa pili kuhusu hawa mawaziri kama wamepokea mishara au walienda kudai mishahara yao ilhali wamesha kuaga ofisi na kurejesha kila kitu kutokana na muda wao kuisha. chokochoko na mipango ya ccm zisikupe kiwewe.

Mimi siamini kwamba ICC ni lazima kwanza kesi iendeshwe ndani ya ile nchi mpaka mshindwe ndo muelkee upande mwengine kwa sababu sikuwahi kusikia Uhuru Kenyata na Waziri wake kwamba kwanza walishtakiwa pale Kenya halafu kesi ndio ikahamishiwa kule The Heague.
 
Maadam mvutano ni SMZ ipo ama haipo, haijalishi ni kisheria, kimabavu au kiubabe tuu, ili CUF kujitenga na hiyo SMZ batili, huoni kama ingekuwa ni busara kuandika barua rasmi kuwa CUF sio sehemu ya uchafu huo?!. Kitendo cha viongozi wa CUF kujitanabaisha hawamo, huku wakiendelea kutafuna posho na mishahara, kunahalalisha wao kuwa ni sehemu ya SMZ!.

Hili ni kama lile la muungano, Karume ameusaini, lakini hakuna popote Bazara la Mapinduzi, limeridhia, hivyo muungano wetu ungekuwa ni batili, lakini Zanzibar imejituliza kimya na kutekeleza majukumu yake ya kimuungano hivyo kuupa uhalali muungano huu hadi leo!.

Ni kama ukimtwaa mwanamke kwa nguvu, kwa kumbaka ili kumlazimisha awe mke wako, mwanamke huyo, japo alibakwa, lakini akiendelea kutulia nyumbani kwako, huku akitimiza majukumu ya ndoa na hadi kukuzalia wana, mwanamke huyu atasemekana ameridhia kuwa na wewe!, kisheria anakuwa ni mkeo halali na hawezi tena kuamua kuachana na wewe eti kisa kabakwa!.

SMZ imebaka demokrasia huko Zanzibar, hatua za kuchukua kuuelezea ubakwaji huu, mnazijua lakini hamchukui, tunachukulia mmeridhia ubakwaji huo!, msinge ridhia, mgechukua hatua stahiki!.

Kutokuchukua hatua zozote stahiki, kisheria ni kukaa kimya, na kukaa kinya kisheria kunatafsiriwa ni kukubali, hivyo CUF imeikubali hali hiyo kwa ridhaa yake yenyewe!.

Watu waadilifu wakilipwa kwa makosa, husema, na kisha kuyarudiosha malipo hayo ambayo halali!, lakini huku kuita SMZ ni serikali haramu, ila malipo yake ndio halali, huku ni kuihalalisha haramu kuigeuza halali, kwa nilivyowahi kusikia, haiwezekani kuigeuza haramu kuwa halali!, hata mwana, akizaliwa haramu, hata kama hatimaye utakuja kumuoa mama yake kumfanya ndio mkeo, hatakutahalalisha haramu iliyotangulia kifanya halali!. Kama SMZ ni haramu, kataeni haramu hiyo na mambo yake yote myakatae!.

Nilidhani unajua ICC ina deal na issues gani, hata hivyo ziko mahakama za kimataifa zinazoweza kulisikiliza shauri hili, ila sheria ya kupeleka kesi huko zinalazimishwa kwanza one has to exost local remedies ndipo aende kule, wakimaanisha kwanza anza na sheria za nyumbani, za ndani zikishindikana ndipo uende kule!. Utakuwa mtu wa ajabu sana kudharau chako na kuthamini cha mwenzio!.

Pasco
Pasco vitu vingine unajiabisha sasa ulitaka wasichukue mishahara unajua muda wao wa uwaziri unaisha lini na wao wamechukua mshahara wa mwezi upi? Kama unataka busara zitumike waambie ccm watumie busara kukubali matokeo
 
Nani alikwambia mawziri wa CUF walijiuzulu na hawakupeleka barua haya mambo munayapata wapi??

Wale mawaziri walisema sisi mkataba wetu kuwa mawaziri ilikuwa ni miaka 5 na sasa imekwisha kwahiyo automatically kisheria sisi si mawaziri tena na tumeacha ofisi na kurejesha magari ya ofisi na kila kitu kwa sababu muda kisheria umekwisha hapa barua ni ya kazi gani tena ambayo unahisi iandikwe?? Ivi Mhe. Pinda aliandika barua ya kujiuzulu kwa JK baada ya kumaliza muda wake wa uwaziri mkuu??

Labda uniambie kama kuna kifungu cha sharia waziri muda wake ukiisha lazima apeleke barua si dhani kama hicho kifungu unacho.
Maadam mvutano ni SMZ ipo ama haipo, haijalishi ni kisheria, kimabavu au kiubabe tuu, ili CUF kujitenga na hiyo SMZ batili, huoni kama ingekuwa ni busara kuandika barua rasmi kuwa CUF sio sehemu ya uchafu huo?!. Kitendo cha viongozi wa CUF kujitanabaisha hawamo, huku wakiendelea kutafuna posho na mishahara, kunahalalisha wao kuwa ni sehemu ya SMZ!.

Hili ni kama lile la muungano, Karume ameusaini, lakini hakuna popote Bazara la Mapinduzi, limeridhia, hivyo muungano wetu ungekuwa ni batili, lakini Zanzibar imejituliza kimya na kutekeleza majukumu yake ya kimuungano hivyo kuupa uhalali muungano huu hadi leo!.

Ni kama ukimtwaa mwanamke kwa nguvu, kwa kumbaka ili kumlazimisha awe mke wako, mwanamke huyo, japo alibakwa, lakini akiendelea kutulia nyumbani kwako, huku akitimiza majukumu ya ndoa na hadi kukuzalia wana, mwanamke huyu atasemekana ameridhia kuwa na wewe!, kisheria anakuwa ni mkeo halali na hawezi tena kuamua kuachana na wewe eti kisa kabakwa!.

SMZ imebaka demokrasia huko Zanzibar, hatua za kuchukua kuuelezea ubakwaji huu, mnazijua lakini hamchukui, tunachukulia mmeridhia ubakwaji huo!, msinge ridhia, mgechukua hatua stahiki!.

Kutokuchukua hatua zozote stahiki, kisheria ni kukaa kimya, na kukaa kinya kisheria kunatafsiriwa ni kukubali, hivyo CUF imeikubali hali hiyo kwa ridhaa yake yenyewe!.

Hiyo mishahara kama wizara ya fedha kama inavyojiita imewaingizia kwenye account zao sidhali kama kuna wa kulaumiwa kwa vile wao tayari walishatamka muda wao kwisha kikatiba kuwa mawaziri.
Watu waadilifu wakilipwa kwa makosa, husema, na kisha kuyarudiosha malipo hayo ambayo halali!, lakini huku kuita SMZ ni serikali haramu, ila malipo yake ndio halali, huku ni kuihalalisha haramu kuigeuza halali, kwa nilivyowahi kusikia, haiwezekani kuigeuza haramu kuwa halali!, hata mwana, akizaliwa haramu, hata kama hatimaye utakuja kumuoa mama yake kumfanya ndio mkeo, hatakutahalalisha haramu iliyotangulia kifanya halali!. Kama SMZ ni haramu, kataeni haramu hiyo na mambo yake yote myakatae!.

Mi nilidhani labda ungeshauri ifunguliwe kesi Mahkama ya Kimataifa ICC kwa vile haki zetu tumepunjwa jambo ambalo mimi nalifikiria pia lingepush dhulma hii ambayo CCM wanaitafuta namna kubaki madarakani ilhali wameshindwa uchaguzi.
Nilidhani unajua ICC ina deal na issues gani, hata hivyo ziko mahakama za kimataifa zinazoweza kulisikiliza shauri hili, ila sheria ya kupeleka kesi huko zinalazimishwa kwanza one has to exhaust local remedies ndipo aende kule, wakimaanisha kwanza anza na sheria za nyumbani, za ndani zikishindikana ndipo uende kule!. Utakuwa mtu wa ajabu sana kudharau chako na kuthamini cha mwenzio!.

Pasco
 
Mimi siamini kwamba ICC ni lazima kwanza kesi iendeshwe ndani ya ile nchi mpaka mshindwe ndo muelkee upande mwengine kwa sababu sikuwahi kusikia Uhuru Kenyata na Waziri wake kwamba kwanza walishtakiwa pale Kenya halafu kesi ndio ikahamishiwa kule The Heague.
hebu nisome tena kuhusu ICC!, kama bado hujanielewa ndipo nirudi!. ICC ina deal na kesi gani?!.

Pasco
 
hebu nisome tena kuhusu ICC!, kama bado hujanielewa ndipo nirudi!. ICC ina deal na kesi gani?!.

Pasco

Umajiaibisha bure wewe pasco,hivi hujui kuwa tz ni nchi ya demokrasia?ccm wanapindisha demokrasi kwa kun'gan'gania madaraka halafu wewe unatetea,kuna jina gn la kuitwa zaidi ya ccm madikteta?
 
PESCO nakumbuka ni mtindo wa suruali inayobana juu nakupanuka kiasi kikubwa kila ukikaribia miguuuni. PESCO huyu hana tofauti na mtindo huu, anaubana ukweli juu na anapanuwa uzandiki chini. Tunayajua mapapa yalioweka kinywa wazi kwa kutaka kuimeza Zanzibar. Mtafaruku wowote unaotokea Zanzibar huuvalia njuga kuegemea upande ule unamaslahi nao ya kuinyima Zanzibar haki ya kuwa na Mamlaka kamili. Hivi sasa eti anaombwa Rais wa Tanganyika (Zanzibar kulikuwa hakuna uchaguzi wa haki na uhuru) kama kwamba Zanzibar ni teka wa vita. Lakini basi hata hayo Mapinduzi yaliongozwa na Mganda Field Marshall John Okello na si watanganyika.

Pesco kitanda ambacho hujakilalia unawajuaje kunguni wake? Tunajua chini ya Tanganyika haki na mawazo ya wazanzibari walio wengi hayathaminiwa wala kuheshimiwa. Kelele zetu ni sawa na kujambia ndani ya maji. Watu milioni moja masikini na wanyonge katu hawawezi kufua dafu kwa watu milioni 49. Ratio ya 1:49 hata kwa makofi hatuna chetu.
Sisi tunamuchia mungu kama vile wazee wetu walivyomuchia mungu pale Mreno alipotuvamia na kumpindua Malkia wetu MWANA WA MWANA wa Tumbatu, mpaka pale aliposikia sala zetu na kutupatia msaidizi wa kuuondoa utawala dhalimu wa wareno.
 
Tunayajua mapapa yalioweka kinywa wazi kwa kutaka kuimeza Zanzibar. Mtafaruku wowote unaotokea Zanzibar huuvalia njuga kuegemea upande ule unamaslahi nao ya kuinyima Zanzibar haki ya kuwa na Mamlaka kamili.
Mkuu Sulutani Saidi Baraghash, kwanza poleni kunyanganywa tonge mdomoni!, mlipo toka kwenu Oman na kuvivamia visiwa vya Zanzibar na kuvitwaa kama mali yenu as if havina wenyewe mpaka mlipofurushwa kwa yale Mapinduzi Matukufu, just imagine kama sii Tanganyika kuingilia kati hali ingekuwaje?!, badala ya kuwa na shukrani, ndio kwanza unatuita mapapa?!. Alyetaka muungano na kujiozesha kwa Tanganyika ni Zanzibar ili kupata ulinzi dhidi ya mvamizi aliyemtimua asije kurudi tena!, alipojikabidhi, alijikabidhi jumla!, iweje leo ndio atake mamlaka kamili?!. Ama kweli, shukrani ya punda ni mateke! fadhila mfadhili mbuzi,angalau utauonja mchuzi, lakini binadamu ...!

Pesco kitanda ambacho hujakilalia unawajuaje kunguni wake? Tunajua chini ya Tanganyika haki na mawazo ya wazanzibari walio wengi hayathaminiwa wala kuheshimiwa. Kelele zetu ni sawa na kujambia ndani ya maji. Watu milioni moja masikini na wanyonge katu hawawezi kufua dafu kwa watu milioni 49. Ratio ya 1:49 hata kwa makofi hatuna chetu.
Ni kweli kama kitanda kina kunguni, wanaokilalia ndio wanaoteseka, kinachotakiwa kufanywa sio kutoka nje na kupiga kelele kuhusu mateso ya kunguni hao, bali kulitoa tandiko, kulianika juani ili hao kunguni wafe!, dawa ya kunguni sio kelele!. Kufuatia kelele zenu, sisi ndio tunakosa usingizi, tunawashaui mlitoe tandiko, hamtoi kazi ni kutupigia kelele kutwa kucha!, nani anataka mikelele?Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila
Sisi tunamuchia Mungu kama vile wazee wetu walivyomuchia Mungu pale Mreno alipotuvamia na kumpindua Malkia wetu MWANA WA MWANA wa Tumbatu, mpaka pale aliposikia sala zetu na kutupatia msaidizi wa kuuondoa utawala dhalimu wa wareno.
Ukiisha muachia Mungu, unatulia, na sio unamuachia Mungu huku kila siku ni kelele kutwa kucha!, Mungu anasikia hata unapowaza tuu!, Mungu anaona yote hata bila kelele, na ni Mungu huyo huyo alyewasaidia wazalendo wenye nchi yao kuwatimua wavamizi, na ni Mungu huyo huyo atakayewasaidia Wanzanzibari, kupata haki yao ya kuhakikisha sii wavamizi wala vizalia vyao vitapewa tena Zanzibar!.

Mapinduzi Daima!.

Pasco
 
Mkuu Sulutani Saidi Baraghash, kwanza poleni kunyanganywa tonge mdomoni!, mlipo toka kwenu Oman na kuvivamia visiwa vya Zanzibar na kuvitwaa kama mali yenu as if havina wenyewe mpaka mlipofurushwa kwa yale Mapinduzi Matukufu, just imagine kama sii Tanganyika kuingilia kati hali ingekuwaje?!, badala ya kuwa na shukrani, ndio kwanza unatuita mapapa?!. Alyetaka muungano na kujiozesha kwa Tanganyika ni Zanzibar ili kupata ulinzi dhidi ya mvamizi aliyemtimua asije kurudi tena!, alipojikabidhi, alijikabidhi jumla!, iweje leo ndio atake mamlaka kamili?!. Ama kweli, shukrani ya punda ni mateke! fadhila mfadhili mbuzi,angalau utauonja mchuzi, lakini binadamu ...!

Ni kweli kama kitanda kina kunguni, wanaokilalia ndio wanaoteseka, kinachotakiwa kufanywa sio kutoka nje na kupiga kelele kuhusu mateso ya kunguni hao, bali kulitoa tandiko, kulianika juani ili hao kunguni wafe!, dawa ya kunguni sio kelele!. Kufuatia kelele zenu, sisi ndio tunakosa usingizi, tunawashaui mlitoe tandiko, hamtoi kazi ni kutupigia kelele kutwa kucha!, nani anataka mikelele?Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila
Ukiisha muachia Mungu, unatulia, na sio unamuachia Mungu huku kila siku ni kelele kutwa kucha!, Mungu anasikia hata unapowaza tuu!, Mungu anaona yote hata bila kelele, na ni Mungu huyo huyo alyewasaidia wazalendo wenye nchi yao kuwatimua wavamizi, na ni Mungu huyo huyo atakayewasaidia Wanzanzibari, kupata haki yao ya kuhakikisha sii wavamizi wala vizalia vyao vitapewa tena Zanzibar!.

Mapinduzi Daima!.

Pasco

1.Najua huielewi wala kuielekeza hitoria ya Zanzibar, lakini kama uikuwa unataka kujua, basi wafalme wanaitwa kwa kutanguliza neno Seyyid (bwana, sio Said) Baraghash ambae ni mzanzibari safi ambae wazee wake waliukana uraia wa Oman na hata kusitisha malipo ambayo Zanzibar ilikuwa inailipa Oman kwa mchango wao wa kuuondoa utawala dhalimu wa kikiristo wa kireno. Malipo ambayo hata Tanganyika yanapokea kutoka Uganda kwa kwa kusaidiwa kuuuondoa utawala wa kiislamu

2.Umenifanya niamini pia kiswahili ni lugha yako ya pili na kina kupa shida kuelewa maudhui ya mithali iliyotumika. kwa ufupi kwa kiingereza tungesema " keep off the grass"

3.Sisi tumemuachia mungu lakini mungu tuliemuachie sisi anitwa ALLAH. Nae katufundisha kuwa pamoja na kuyakabidhi kwake hatupaswi kukaa kimya, Kwa vile tumeshindwa kuiondoa dhulma kwa mikono yetu (ratio 1:49) basi alau tuoneshe chuki kwa kuichukia dhulma

4 kwa kusaidia kuweka kumbukumbu kuwa waarabu wa Oman hawakuivamia Zanzibar, lakini walikwenda kuombwa na babu zetu watusaidie Zanzibar kuwaondoa makafiri kwa vile wao waliweza kuwan'goa wareno nchini kwao. Kama alivyofanya Obote kwa Nyerere

5 Muungano hawakuleta akina Nyerere ila ni Marekani wakati vita baridi. na ndio Karume alitueleza kuwa tusihofu kuwa tukiuona unatubana basi ni kulivua koti tu

6. Hata huyo Jamshid (mzanzibari halisi kwa zaidi ya vizazi kumi kuzaliwa visiwani) kattika kunusuru maisha yake alikimbilia Kenya lakini Jomo Kenyatta pamoja nakutakiwa kufanya hivyo na Uingereza alikataa kumpokea lakini ni Nyerere ndio aliompokea na baadae kuelekea Uingereza ambae mpaka leo anaishi. Kwa vile yrye ni mzanzibari safi na si m-oman

MAPINDUZI DAIMA MBELE KWA MBELE

 
1.Najua huielewi wala kuielekeza hitoria ya Zanzibar, lakini kama uikuwaunataka kujua, basi wafalme wanaitwa kwa kutanguliza Seyyid (bwana, sio Said) Braghash ambae ni mzanzibari safi ambae wazee wake waliukana uraia wa Oman na hata kusitisha malipo ambayo Zanzibar ilikuwa inailipa Oman kwa mchango wao wa kuuondoa utawala dhalimu wa kikiristo wa kireno. Malipo kama ambayo hata Tanganyika yanapokea kutoka Uganda kwa kuuuondoa utawala wa kiislamu
2.Umenifanya niamini pia kiswahili ni lugha yako ya pili na unashindwa kuielewa maudhui ya mithali iliyotumika. kwa ufupi kwa kiingereza tungesema " keep off the grass"
3.Sisi tumemuachia mungu lakini munu tuliemuachie sanitwa ALLAH. Nae katufundisha kuwa pamoja na kuyakabidhi kwake hatupaswi kukaa kimya, Kwa vile tumeshindwa kuiondoa dhulma kwa mikono yetU (ratio 1:49) basi alau tuoneshe chuki dhidi ya dhulma
4 kwa kusaidia kuweka kumbukumbu kuwa waarabu wa Oman hawakuivamia Zanzibar, lakini walikwenda kuombwa waisaidie Zanzibar kuwaondoa makafiri kwa vile wao waliweza kuwan'goa wareno nchini kwao. Kama alivyofanya Obote kwa Nyerere
5 Muungano hawakuleta Nyerere ila ni Marekani wakati vita baridi. na ndio Karume kuwa tusihofu kuwa tukiuona unaubana basi nikulivua koti tu
6. Hata huyo Jamshid (mzanzibari halisi kwa zaidi ya vizazi kumi kuzaliwa visiwani) kunusuru maisha yake alikimbilia Kenya lakini Jomo Kenyatta aikataa kumpokea lakini ni Nyerere ndio aliompokea na baadae kuelekea Uingereza ambae mpaka leo anaishi. Kwa vile yrye ni mzanzibari na si moman

MAPINDUZI DAIMA MBELE KWA MBELE
Seyyid Baraghash, Kwa maneno haya utawala dhalimu wa kikiristo, kuwaondoa makafiri,
I " keep off the grass"
Pasco
 
Back
Top Bottom