Wambandwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 2,249
- 830
Mzee Mwanakijiji, nimeipenda sana hii na Mungu ashushe baraka zake iwe kweli (my wishful thinking). Wana JF wamechangia mengi ya kisiasa bila kuangalia upande wa uchumi. Tukiwa na daraja hatutosubiri meli kupeleka viazi, nyanya, vitunguu, nk kwenda Znz tutakuwa tunatumia pikipiki za TOYO au pickup, na kwa namna hiyo maisha yanakwenda.
Ila, hilo daraja itakuwaje ikitokea Tsunami?
Ila, hilo daraja itakuwaje ikitokea Tsunami?