Zanzibar itatawaliwa na Wazanzibari - Seif Sharrif

Watu nadhani wanashindwa au hawataki kuangalia tu tunachosema ni kitu gani.. je mwarabu wa Zanzibar anaweza kutawala Zanzibar kwa sababu naye ni Mzanzibari?
 
Watu nadhani wanashindwa au hawataki kuangalia tu tunachosema ni kitu gani.. je mwarabu wa Zanzibar anaweza kutawala Zanzibar kwa sababu naye ni Mzanzibari?


hilo nalo la kuuliza mbona wapo wanatawala huyu mheshimiwa karume ana damu ya kinyasa (baba yake) na ya kiarabu (mama yake) madam ametimiza masharti ya katiba sisi hatuna pingamizi

ww una lako hutaki kuliweka wazi hebu liweke uchi tulione
 
hilo nalo la kuuliza mbona wapo wanatawala huyu mheshimiwa karume ana damu ya kinyasa (baba yake) na ya kiarabu (mama yake) madam ametimiza masharti ya katiba sisi hatuna pingamizi

ww una lako hutaki kuliweka wazi hebu liweke uchi tulione

Mtu wa Pwani, wala sina miye nasikiliza maneno tu. Naamini kwa haki kabisa Zanzibar lazima itawaliwe na Wazanzibari kisheria. Kitu ambacho sikukielewa ni kwanini Maalim anawahakikishia watu kuwa Zanzibar haitotawaliwa na watu wasio Wazanzibari. Aidha, kuna tetesi kuwa kuna Watu wasio Wazanzibari wanataka kutawala au Baadhi ya wagombea siyo Wazanzibari wanataka kutawala. Yote mawili yana matatizo.

Sijasikia kama kuna mtu kutoka nje ya Zanzibar anataka kuitawala Zanzibar na sijui kama kuna mgombea yoyote sasa hivi ambaye si Mzanzibari. Kama yote haya mawili ni kweli, kwanini kuwahikishia watu kuwa Zanzibar haitotawaliwa na watu wasio Wazanzibari, au ni kile kinachoitwa ni redundancy?
 
hilo nalo la kuuliza mbona wapo wanatawala huyu mheshimiwa karume ana damu ya kinyasa (baba yake) na ya kiarabu (mama yake) madam ametimiza masharti ya katiba sisi hatuna pingamizi

ww una lako hutaki kuliweka wazi hebu liweke uchi tulione

Na mke wake ni mwarabu.
yULE MFALME WA MWISHO WA ZANZIBAR ALIKUWA NI MZANZIBARI,kafanana sana na mzee Mwanakijiji.
Nini wewe mwanakijiji ! kuleta upuuzi huu.Unapenda sana wazanzibari wagombane kwa choko choko zako.
 
Mtu wa Pwani, wala sina miye nasikiliza maneno tu. Naamini kwa haki kabisa Zanzibar lazima itawaliwe na Wazanzibari kisheria. Kitu ambacho sikukielewa ni kwanini Maalim anawahakikishia watu kuwa Zanzibar haitotawaliwa na watu wasio Wazanzibari. Aidha, kuna tetesi kuwa kuna Watu wasio Wazanzibari wanataka kutawala au Baadhi ya wagombea siyo Wazanzibari wanataka kutawala. Yote mawili yana matatizo.

Sijasikia kama kuna mtu kutoka nje ya Zanzibar anataka kuitawala Zanzibar na sijui kama kuna mgombea yoyote sasa hivi ambaye si Mzanzibari. Kama yote haya mawili ni kweli, kwanini kuwahikishia watu kuwa Zanzibar haitotawaliwa na watu wasio Wazanzibari, au ni kile kinachoitwa ni redundancy?

Maalilm Seif ni mgombea na ni mwanasiasa wa miaka mingi.Anajuwa mengi na anapelekewa taarifa kila aina nyingine za umbea tu.
Kwa namna yoyote ile yeye ni mtu wa kusikilizwa zaidi kuliko wewe mwanakijiji.Kwa sababu hata ikiwa ni umbeya basi utakaoupata wewe utakuwa ni ujinga zaidi na fitna.
Unaposema SIJASIKIA,nani akuletee wewe taarifa,na wewe ni nani?.


 
Na mke wake ni mwarabu.
yULE MFALME WA MWISHO WA ZANZIBAR ALIKUWA NI MZANZIBARI,kafanana sana na mzee Mwanakijiji.
Nini wewe mwanakijiji ! kuleta upuuzi huu.Unapenda sana wazanzibari wagombane kwa choko choko zako.

hapana Ami sipendi kweli Wazanzibari wagombane au mtu mwingine yoyote; ila sipendi zitafutwe sababu za kuwaganywa na kuwagombanisha. Mchagga ambaye amehamia Zanzibar na kutimiza masharti ya ukazi ya Zanzibar atakuwa ni Mzanzibari na atakuwa na haki ya kutawala Zanzibar, au hili haliwezekani?
 
hapana Ami sipendi kweli Wazanzibari wagombane au mtu mwingine yoyote; ila sipendi zitafutwe sababu za kuwaganywa na kuwagombanisha. Mchagga ambaye amehamia Zanzibar na kutimiza masharti ya ukazi ya Zanzibar atakuwa ni Mzanzibari na atakuwa na haki ya kutawala Zanzibar, au hili haliwezekani?
Hivyo ndivyo ilivyo.Kama unavyoshangaa kwamba hakukuwa na sababu ya Seif kusema vile,pamoja na kwamba kuna mantiki kutokana na vionjo alivyonavyo vya kuwa mgombea uraisi.
Kwa upande wako hukukuwa na haja ya kuonesha hisia hizo wakati hilo ndilo linaloendelea kwa sasa huko Zanzibar.Kila mwenye kufikia vigezo vya kuwa mzanzibari hakuna anayepinga kuwa mtawala.Kwani wangapi wenye asili ya kichagga wameshatawala Zanzibar katika nafasi mbali mbali.Tatizo la kwako nahisi mara nyingi hujisikii vizuri akitawala mwengine mwenye asili tuseme ya Arabuni au Msumbiji.
 
Hivyo ndivyo ilivyo.Kama unavyoshangaa kwamba hakukuwa na sababu ya Seif kusema vile,pamoja na kwamba kuna mantiki kutokana na vionjo alivyonavyo vya kuwa mgombea uraisi.
Kwa upande wako hukukuwa na haja ya kuonesha hisia hizo wakati hilo ndilo linaloendelea kwa sasa huko Zanzibar.Kila mwenye kufikia vigezo vya kuwa mzanzibari hakuna anayepinga kuwa mtawala.Kwani wangapi wenye asili ya kichagga wameshatawala Zanzibar katika nafasi mbali mbali.Tatizo la kwako nahisi mara nyingi hujisikii vizuri akitawala mwengine mwenye asili tuseme ya Arabuni au Msumbiji.

absolutely wrong, mimi kwa Zanzibar nataka Seif ashinde, lakini siyo ashinde halafu watu waanze kelele za kuwa tunabaguliwa kwa Uunguja na Upemba kwani huko nyuma watawala wote wa Zanzibar baada ya uhuru wametokea Unguja na watu wa Pemba wakajikuta wanalalamika kama kutengwa hivi japo nao ni Wazanzibari.. Ni muhimu ukubaliane nami kuwa wananchi wote wenye haki ya Zanzibar bila kujali asili yao, rangi zao, dini zao au makabila yao wana haki sawa ya kuifurahia na kuitumikia Zanzibar, unakubaliana nami?
 
Hivi hao kambi ya CCM sii Wazanzibari? au kuna Wakati Zanzibar ilitawaliwa na mtu asiyekuwa Mzanzibar? Je, Dr.Shein na Bilal sio Wazanzibar.

- Huyu Seif hakika sijui ni uzee au ni kitu gani kwa sababu sioni sababu kabisa ya kutoa maneno hayo ikiwa swala kubwa ni kupata serikali tatu ikiwa ni pamoja na ile ya Muungano...Kisha ndiye aliyeweka muafaka na CCM na kukubali serikali ya mseto, je alipokubali serikali ya mseto alikuwa akifikiria kwamba hao CCM wanaoongoza leo hii hawatakuwepo au?
Mkandara!
Seif amehusishwa mara nyingi na wapinzani wake ktk kumbandika Tag ya kwamba waki
mchagua Seif atarudisha utawala wa kisultani Zanzibar hivyo anawaambia wapiga kura wa Zanzibar kwamba Zanzibar itatawaliwa na wazanzibari .
 
Mkandara!
Seif amehusishwa mara nyingi na wapinzani wake ktk kumbandika Tag ya kwamba waki
mchagua Seif atarudisha utawala wa kisultani Zanzibar hivyo anawaambia wapiga kura wa Zanzibar kwamba Zanzibar itatawaliwa na wazanzibari .

KNKU.. welcome back buddy! swali langu ndilo liko hapo, kwani Sultani wa Zanzibar aliacha lini kuwa Mzanzibari?
 
Thanks!
Na arudi kama naye ni MZANZIBAR!

si lazima yeye mwenyewe arudi, uzao wake unaweza kurudi au hata watu wengine ambao waliondoka Zanzibar baada ya Mapinduzi ambao hata toka ugenini bado wanatambua Zanzibar ya Sultani siyo ya haya mapinduzi. Ndio maana kwangu mimi Seif akisema kuwa "Sultani na uzao wake hawana haki ya kutawala Zanzibar" atakuwa amesema kitu ambacho ni kizito sana. Hawezi kusema hili hata hivyo. Si kwa sababu anataka Sultani arudi bali kuappease wale wengine ambao wanamuunga mkono kwa sababu he is more tolerant na Sultani labda kuliko mahafidhina wa CCM.
 
si lazima yeye mwenyewe arudi, uzao wake unaweza kurudi au hata watu wengine ambao waliondoka Zanzibar baada ya Mapinduzi ambao hata toka ugenini bado wanatambua Zanzibar ya Sultani siyo ya haya mapinduzi. Ndio maana kwangu mimi Seif akisema kuwa "Sultani na uzao wake hawana haki ya kutawala Zanzibar" atakuwa amesema kitu ambacho ni kizito sana. Hawezi kusema hili hata hivyo. Si kwa sababu anataka Sultani arudi bali kuappease wale wengine ambao wanamuunga mkono kwa sababu he is more tolerant na Sultani labda kuliko mahafidhina wa CCM.
Ndiyo maana nimeuliza katiba ya wazanzibari inasemaje kuhusu ili?Kama Inamtambua kama naye ni Mzanzibari kwa mujibu wa katiba basi bado kauli ya Seif haina utata na kama haimtambui pia kauli yake haina utata kwani alichosema yeye ni kwamba kila mzanzibari kwa mujibu wa katiba yao anahaki ya kuchaguliwa kuongoza zanzibar.
 
Ndiyo maana nimeuliza katiba ya wazanzibari inasemaje kuhusu ili?Kama Inamtambua kama naye ni Mzanzibari kwa mujibu wa katiba basi bado kauli ya Seif haina utata na kama haimtambui pia kauli yake haina utata kwani alichosema yeye ni kwamba kila mzanzibari kwa mujibu wa katiba yao anahaki ya kuchaguliwa kuongoza zanzibar.

Hapana hakusema hivyo.. angesema hivyo wala kusingekuwa na tatizo.
 
Hapana hakusema hivyo.. angesema hivyo wala kusingekuwa na tatizo.

Ndio maana nasema definition of who is Zanzibari is decided by Seif Sharif Hamad, not by the isles constitution. Hakuwa na maana yoyote ya kusema Zanzibar itatawaliwa na wazanzibar kwa kuwa katiba imesema wazi nani ni mzanzibar na nani anatakiwa kutawala Zanzibar. Yeye amezungumzia mzanzibari (akimtenga mzanzibara) unless aje na ufafanuzi mwingine.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom