Zanzibar inaweza kupata fedha toka IMF bila kupitia Tanzania?

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,108
18,326
Wakuu katika kukabiliana na tatizo la corona, zanzibar imeonyesha maturity na level nzuri ya kiuongozi kuliko Tanzania.

Kwanza imelua ikitoa taarifa mara kwa mara na haijaleta maneno kama ilivyo kwa Tanzania.

Katila batch 1 na batcha 2 za mpunga wa IMF Tanzania haimo wakati Rwanda,Kenya na uganda tayari zimelamba mpunga wao.


Kwa africa mashariki Tanzania haijapata sawa na nchi nyingine za kidictator kama Burundi na sudan kusini


Swali langu, kwa kuwa zanzibar inaonekana kuzibiwa kupata mpunga na Tanzania, Je kuna uwezekano zanzibar ikaomba kama nchi na ikapata bila kuingiliwa na Tanzania?

20200507_182535.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Zanzibar imeonyesha maturity na level nzuri ya kiuongozi" Mwisho wa kunukuu.

Niseme tu, Banana republics nyingi zina tatizo la leadership na maturity. Hivi kwenye pandemic kama hii unaficha takwimu ili iweje? Weka tatizo wazi wengine waweze kujua na kusaidia.
 
Nafikiri kimataifa Zanzibari haijulikani kama inchi . Anayejua ni inchi ni sisi wenyewe huku ndani kuwajubaisha wazenji . kimataifa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambayo ni muunganiko wa visiwa vya Zanzibar na Tanganyika ndiyo inatambulika.
 
Igi kwani kuna siri gani imejificha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zanzibar haitambuliki kama nchi popote duniani. Huu uchawi aliutengeneza Nyerere miaka hiyo na utabaki hivyohivyo. Raisi wa Zanzibar ni kama raisi wa WASAFI duniani hakuna nchi inamualika Shein kama raisi. Hana tofauti na mkuu wa mkoa duniani. Hakuna Jeshi la Zanzibar wala polisi ya Znz inayotambulika. Kinachojulikana ni Tanzania. Kwahiyo UN haiitambui ZNZ kama serikali, ndo maana Jecha alivuruga matokeo na Dunia haikutia neno, haina tofauti na kuvuruga uchaguzi wa TFF.
 
Mbona WHO wanatambua data za zanzibar
Nafikiri kimataifa Zanzibari haijulikani kama inchi . Anayejua ni inchi ni sisi wenyewe huku ndani kuwajubaisha wazenji . kimataifa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambayo ni muunganiko wa visiwa vya Zanzibar na Tanganyika ndiyo inatambulika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nasilia jeshi lipo japo haoina silaha.

Bendera ipo japo eti UN haipo.

Lakini huu ni ujinga mkubwa
Zanzibar haitambuliki kama nchi popote duniani. Huu uchawi aliutengeneza Nyerere miaka hiyo na utabaki hivyohivyo. Raisi wa Zanzibar ni kama raisi wa WASAFI duniani hakuna nchi inamualika Shein kama raisi. Hana tofauti na mkuu wa mkoa duniani. Hakuna Jeshi la Zanzibar wala polisi ya Znz inayotambulika. Kinachojulikana ni Tanzania. Kwahiyo UN haiitambui ZNZ kama serikali, ndo maana Jecha alivuruga matokeo na Dunia haikutia neno, haina tofauti na kuvuruga uchaguzi wa TFF.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri kimataifa Zanzibari haijulikani kama inchi . Anayejua ni inchi ni sisi wenyewe huku ndani kuwajubaisha wazenji . kimataifa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambayo ni muunganiko wa visiwa vya Zanzibar na Tanganyika ndiyo inatambulika.
Si kweli Tanzania ni muungano wa Pemba na Zimbabwe.

Maneno hayo yalisemwa na Naibu waziri wa elimu Kipindi cha JK(2012).
 
Wakuu katika kukabiliana na tatizo la corona, zanzibar imeonyesha maturity na level nzuri ya kiuongozi kuliko Tanzania.

Kwanza imelua ikitoa taarifa mara kwa mara na haijaleta maneno kama ilivyo kwa Tanzania.

Katila batch 1 na batcha 2 za mpunga wa IMF Tanzania haimo wakati Rwanda,Kenya na uganda tayari zimelamba mpunga wao.


Kwa africa mashariki Tanzania haijapata sawa na nchi nyingine za kidictator kama Burundi na sudan kusini


Swali langu, kwa kuwa zanzibar inaonekana kuzibiwa kupata mpunga na Tanzania, Je kuna uwezekano zanzibar ikaomba kama nchi na ikapata bila kuingiliwa na Tanzania?

View attachment 1443143

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema bila kupitia TANGANYIKA hivi watanganyika mnafeli wapi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu katika kukabiliana na tatizo la corona, zanzibar imeonyesha maturity na level nzuri ya kiuongozi kuliko Tanzania.

Swali langu, kwa kuwa Zanzibar inaonekana kuzibiwa kupata mpunga na Tanzania, Je kuna uwezekano Zanzibar ikaomba kama nchi na ikapata bila kuingiliwa na Tanzania?
Jibu ni yes, Zanzibar inaweza kuomba misaada na mikopo kutoka mabenki na mashirika ya Kimataifa kwa mambo ambayo sio muungano, kama ilivyofafanuliwa hapa
"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza - JamiiForums
Wanabodi,
Kuna kitu Mama Samia amekisema sikuwahi kukijua!. Kumbe Wizara ya Mambo ya Nje ilipokiwa ikiitwa Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa ndio ilikuwa ya Muungano iki handle issues zote za Zanzibar kimataifa, lakini , ilipobadilishwa jina na kuitwa Wizara ya Mambo, ya Nje na Ushirikiano wa Africa Mashariki, sasa ina handle mambo ya Zanzibar ndani ya Africa Mashariki tuu, lakini kimataifa, kwa yale mambo ambayo sio ya muungano, SMZ ya Zanzibar imepewa uhuru wa kunegotiate ufadhili, misaada, na mikopo na mikataba ya kimataifa kwaniaba ya Zanzibar, ila kwenye kutiliana saini, anayetia saini ni serikali ya JMT, kwasababu Zanzibar haina sovereignty, sovereignty ni moja tuu ambalo iko kwenye JMT pekee !.

Hili sikuwahi kulijua, hivyo kumbe sasa Zanzibar inaweza kupata misaada na mikopo ya kimataifa, sasa kwavile uwiano wa kugawana misaada ya kutoka nchi wafadhili na wahisani, Zanzibar inastahili kupata asilimia 4.5% ya misaada yote kwa Tanzania, sasa kwa vile Zanzibar nayo inaweza kuomba ufadhili wa kimataifa, jee hii misaada ya kimataifa ya Zanzibar inayoomba, Tanzania bara pia tunapewa ule mgao wa asilimia 95.5% ya misaada ya Zanzibar, au misaada ya Tanzania tuu, ndio Zanzibar inapaswa kugaiwa asilimia 4.5%, lakini kwa misaada ya Zanzibar, then misaada hiyo ni ya Zanzibar pekee?.
Afya sio issue ya muungano, hivyo Zanzibar mko huru kuomba hizo Fedha za WB na IMF na Serikali ya JMT itawatilia saini fasta
P
 
Back
Top Bottom