Zanzibar inastahili kuwa na wajumbe wawili tu katika tume ya katiba

Ivi what do we gain toka kwa huu Muungano maana watu wanajitaidi kuubeba kwa nguvu zote to the extent ya kuweka mgao sawa wa 15 to 15 people!
 
Muungano unaweza kuwa siyo tatizo, lakini kurundika idadi kubwa ya wazanzibar kwenye tume wakati ni wachache sana inafanya katiba isikubalike kabisa kwa watu wa Tanzania bara. Lzima wajumbe wa Zanzibar wapunguzwe kwenye tume ya katiba wabaki wawili ili katiba itakayotungwa iakisi vya kutosha mahitaji ya watu wa Tanzania bara na siyo kuamuliwa na Zanzibar.


Isitoshe Znz ina Vilaza wengi,kama Mohamed Bilal ndiye alikuwa anatikisa Siasa za Znz na ndiyo hohehahe vile unaweza kupata Picha hao wananchi wa Kawaida watakuwaje!! Hao wajumbe wa Znz watakuwa wanasubiri mambo ya Mahakama ya Kadhi na Oic basi,hizo ndiyo agenda zao!!

Waanajua kufuga ndevu tu,Nakubali sana Hoja za Tindu Lissu!
 
Hapo
kuna kinakitu chini ya pazia,haiwezekani na haingii akilini eti nchi
yenye watu ml2 iende sawa na nchi ya watu ml40.Z'BAR WANAMAUJANJA
KULIKO MAZEZETA TULIOWAPA ZAMANA YA KUTUONGOZA HAPA BARA,bora kuwe na
serikari tatu.
na burundi ina watu wangapi ukilinganisha wadanganyika mbona husemi kwenye jumuiya ya east africa wawe na mjumbe mmoja nyie muwe na 30 kweli machogo hamuelimiki
 
na burundi ina watu wangapi ukilinganisha wadanganyika mbona husemi kwenye jumuiya ya east africa wawe na mjumbe mmoja nyie muwe na 30 kweli machogo hamuelimiki


Kwenye EAC hatuundi katiba ya nchi moja na nchi nyingine,hapa tunazungumzia Jamhuri inayotaka Kuundwa kwa Katiba Mpya kupitia Tume ya Kukusanya Maoni ambayo tayari ina walakini!!
 
hawa wazanzibar wamejazwa sababu ya oic na kadhi tu..mpaka sasa siamini kama jk atatuletea katiba mpya.!
 
Yawezekana mie sijaelewa hapa; naomba mnisaidie, wasiwasi wetu hapa ni nini juu ya kufanana kwa ratio hii ya visiwani na bara?
 
The eagle usiumize watu vichwa wewe ukiwa ndio msimamo wako hata ashuke nabii issa leo a.s huwezi kuamini kwani huwa ndio msimamo wako lkn msimamo hubadilika kwani ndugu zangu baadhi ya watanganyika wezangu tatizo nn kwenye hii ratio watu hushidana kwa hoja na sio idadi ya watu kama idadi ya watu ndio muhimu leo CCM angeshida arumeru kwani anaidadi ya wanachama wengi na wapiga kira wengi lkn sera ndio wanaarumeru ndio wamnazozitaka sawa na baadhi wa na baadhi ya wajumbe wanaowakilisha znz kama salim ahmed salim, jaji augostino ramadhan, katibu ndugu assaa hawa wote ni watu wa fact sio kufata mkumbo, tujaribu kujenga hoja zenye mashiko na sio kulalama wezetu wamejipanga kwa hoja na sio kulalama lama muda wa porojo umeshapita tuwe wa hoja ya haja na sio idadi ya waislam wengi, wazanzibar wengi baadae tutakuja sema wanaume na wana CCM wengi
 
Ndugu mtoa mada ulipaswa ujue kwanza nn madhumuni ya marekebisho ya katiba ya muungano. Baada ya hapo ulipaswa kujua nn muungano wa jamuhuri ya tanzania na baadae ndio uandike thread yako. Elewa kwamba katika marekebisho ya katiba ya muungano na sio tanganyika kama mchangiaji mmoja alivyochangia katika marekebisho hayo kikubwa kunacho angaliwa ni uwakilishi wa maoni kutoka pande zote mbili za muungano yaani zanzibar na tanganyika kwa lugha nyengine tanzania bara na visiwani na wala sio tanzania zanzibar jee ni umuhimu gani ya kuwa na wajumbe sawa hapa tumazungumzia tume iliyohuru itayoshighulikia mchakato mzima wa kupatikana katiba mpya ya muungano na wala sio katiba ya tanganyika wala zanzibar, tume hii majukumu yake yametajwa ndugu mtoa mada tafadhali pitia kwenye rasimu ya tume ya mabadiliko ya muungano. Yatayoamuliwa utakuwa yameamuliwa na ndio utakuwa msimamo wa tume kwa maana fupi huo ndio utaokuwa ndio msimamo wa tanganyika na zanzibar nje ya muungano. Swali liko hapo ingekuwa tume hio wajumbe hawako sawa pande moja wapo ingepiga kelele kuwa idadi ya uwakilishi wake ulikuwa mdogo na ndio ikatokea matokeo hayo sasa wataalamu na serekali zote mbili ile ya visiwani na ile ya muungano vikakubaliana wawe na wajumbe sawa kutoka pande mbili za muungano ili kuondosha migogano ya maamuzi. Ushauri tugekuwa na serikali 3 hili lisingejitokeza na pili kesa lilifanyika pale waasisi wa muungano kuiua tanganyika leo hii wazanzibar wana katiba yao ya watanganyika iko wapi watanganyika wakitaka kubadilisha katiba watabafilisha katiba ya muungano ambayo ndani yake wazanzibar wamo humo. Ndugu watanzania tume sio itayotueleza muskbali ya tanzania yetu bali sisi wenyewe watanzania bara na visiwani ndio tutaokuwa waamuzi wa muungano wetu uweje kwa hio kila tunaloliona kero tuliweke wakati ukifika tulitaje na kwa tume hii iliyoundwa ni tiifu kwani ukiangalia kwa udani wa wakumbe kila mjumbe anamrengo wake kwa hio nawe mwananchi ungana na mrengo wa mjumbe unaemkubali hakika utashida tu
Ujue kwanza wazanzibar wana katiba yao,kuna mambo ambayo ni ya muungano na mengine sio ya muungano,Hayo mambo mambayo sio ya muungano Tanzanyika yapigiwe kura na wajumbe wote?Je kama kura za wajumbe ndio zina nguvu na mawazo yao ,je haki kwa Tanganyika iko wapi?kama pato la taifa haligawiwi 50/50 kwa nini wajumbe iwe 50/50 mnataka kutuuwa watanganyika kwa kutuingizia udini,na huyu kikwete ndio chanzo
 
The eagle usiumize watu vichwa wewe ukiwa ndio msimamo wako hata ashuke nabii issa leo a.s huwezi kuamini kwani huwa ndio msimamo wako lkn msimamo hubadilika kwani ndugu zangu baadhi ya watanganyika wezangu tatizo nn kwenye hii ratio watu hushidana kwa hoja na sio idadi ya watu kama idadi ya watu ndio muhimu leo CCM angeshida arumeru kwani anaidadi ya wanachama wengi na wapiga kira wengi lkn sera ndio wanaarumeru ndio wamnazozitaka sawa na baadhi wa na baadhi ya wajumbe wanaowakilisha znz kama salim ahmed salim, jaji augostino ramadhan, katibu ndugu assaa hawa wote ni watu wa fact sio kufata mkumbo, tujaribu kujenga hoja zenye mashiko na sio kulalama wezetu wamejipanga kwa hoja na sio kulalama lama muda wa porojo umeshapita tuwe wa hoja ya haja na sio idadi ya waislam wengi, wazanzibar wengi baadae tutakuja sema wanaume na wana CCM wengi
kama ratio haina umuhimu hoja mbovu za ccm bungeni zingekuwa zinakwama,ujue tu wajumbe mawazo yao ndio yanayosikilizwa na kwa hali ilivyo hakuna mjumbe katiuliwa ili asikilize maana hakuna kipya,kila mmoja anahoja ya kuingiza kwenye hiyo katiba sasa usawa kwa tanganyika uko wapi.
Pia ujue wabunge na wawakilishi nao ni wajumbe maana itapigwa kura na wabunge na wawakilishi ambako kila upande unatakiwa ukubali kwa 2/3 ya kura zote,sasa huko znz wote ni waislam na huku bara wengi ni ccm wanasikiliza kauli ya chama ambaye m/kiti dini yake unaijua na ameshaonesha udini kwenye vipingele vingi.watanganyika tutapona kweli,Alafu kikwete anataka kuaminisha watz kuwa znz hamna wakristo kitu ambacho sio kweli,huyo augustini ramadhani kamuweka tu kama chambo
 
Kuna vitu viwili hapa
1. Uwakilishi
2. Nguvu ya uamuzi
Uwakilishi :
Raia wote wa JMT wana haki ya kupata uwakilishi sawa (equal representation) kulingana na idadi yao. Kama zanzibar wana 15 basi Tanganyika wawe 300 kulingana na idadi ya watu ( 2 vs. 40 mil )
Nguvu ya kufikia maamuzi:
Zanzibar ni nchi ndogo ndani ya muungano na kuzingatia hilo basi pawepo na utaratibu wa kuwapa nguvu wawakilishi wake katika kufikia maamuzi.
Juhudi za kuwapa unproportional representation ni kinyume na demokrasia na ni dhuruma kwa raia waliowengi wa JMT kwa sababu wachache wanajiwakilisha kwa wingi na kutumia wingi wao kutoa maamuzi.
 
rais wa Zanzibar anaongoza watu wachache kuliko baadhi ya wakuu wa mikoa wa bara upo hapo. halafu anatoa wajumbe sawa na wa bara kwenye tume. hapa kinachotumika sio akili bali ni kukariri. Tujiandae kufanya ya kwetu kwa nguvu zetu
 
Naona hali inakuwa tete ni vigumu vijana kuelewa wazanzibar wameshasema wazi wanataka kura ya maoni kuhusu muungano ili wapige kura kama wanataka muungano au hawataki na wengi wa hao wanaotaka kura ya maoni ni vijana na hili limo ndani ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa tanzania ya sasa kwa hali hii na sisi watanganyika tutumie nafasi hii ya kudai kura ya maoni kabla ya kudai kubwa la marekebisho ya katiba kwani kwenye kura ya maoni tutazungumzia muungano tu lkn kwenye mabadiliko ya katiba kuna mengi ili kuondosha hizi choko choko ambazo baadae athari kila mtu atailaumu serikali baada ya kujilaumu yeye mwenyewe ndugu mtanganyika chukua hatua na muamini rais jakaya mrisho kikwete kwa kushirikiana na tume aliyoiunda ndio muokozi wetu kama rais wetu haitakii mema nchi hii asingekubali marekebisho wa katiba katika awamu yake kwani hizi kelele hazikuwaza leo awamu ya nne sasa neno katiba limo ndani ya midomo ya watanzania lkn kikwete yeye kaamua kuchukua hatua ndugu zangu wekeni siasa pembeni tujenge nchi yetu madhara ya siasa tuwaulize wazanzibar na rais karume watizame wazanzibar wanavyokwenda mbele sisi tumebaki na siasa itatumaliza tuungane kike kwa kiume ccm na upizani kuwapiga wale wote wasioitakia mema nchi hii tuachane na siasa uchwara wanaonufaika ni wachache tusipoungana hakika mkoloni umasikini ujinga na maradhi havitoondoka nchini kwetu
 
Hawa wazenji si wanaongozwa na katiba ya zanzibar, kwanini wamerundikwa watuharibie katiba yetu tanganyika, na uzoefu wa hawa wajumbe we zenji huko nyuma ukoje
 
Katika mambo ambayo ni mtaji kwa magamba ni zanzibar, hawa na chama chao cha alshaababu , yaani ccm b ndiyo kikwazo cha ukombozi wa tanganyika
 
Zenji kila familia ama anatoka sheha, au mwakilishi, au waziri smz, au waziri jmt, au rais smz, au rais jmt, au mabalozi, wakuu wa wilaya, au maofisa waandamizi wa serikali smz, au jmt.

Kama uoni kwa macho, papasa
 
nasikia hawa jamaa wana majimbo 50 ya uchaguzi kwa watu millioni 2 kwa hesabu hiyo bara kulitakiwa kuwe na majimbo1000 kwa watu millioni 40! kuna kunyonyana hapa.
 
Kwa upande wangu napendekeza.

1. Wabunge wote wa tanzania bara wanaounga mkono uwiano huu wa kijinga (50%-50%) 2015 tuwapige chini
2. chama kinachotufanya watanganyika kuonekana hatuna akili 2015 tupige kampeni kisiwe madarakani
3. Wanasiasa kutoka visiwani na kututawala huku bara tuwape wakati mgumu kabisa kama kule mbeya big up
4. kwenye mchakato wa katiba mpya tuupinge muungano kwa nguvu zote kwa umojawetu tuhoji yafuatayo:-
a) Kwa nini hakuna wabara wanoongoza visiwani ilhali wao (wazenji) wanatuongoza huku tanzaniabara
-Nahoza waziri mambo ya ndani
-Hussen mwinyi waziri wa ulinzi (Tunahitaji mzanzibar kutulindia inchi yetu kama sio ujinga au upumbavu)
-Bilal makamu wa rais na anaishi DSM
-Zakia Megji nk..........

5. Muungano wa tanzania ni wa tanganyika na Zanzibar kama ndivyo kwa nini watanganyika hawakuhusishwa wakati wazanzibar wanachakata na kupitisha katiba yao?
a) Usawa upo kuwakilisha wazazibar tu?
b) Watanganyika wanawakilishwa na nani zanzibar

TAFAKA........... LAZAMA TUCHUKUE HATUA HAIWEZEKANI WANASIASA WATANGAZNYIKA WATUFANYE MAZUZU SISI WATANGANYIKA INCHI NIYETU YA TANGANYIKA, MUUNGANO HAUNA MAANA ZAIDI YA HATARI KWETU.
b) kwanini watu milioni moja na nusu wapate Uwioano kiuwakilishi kama milioni 40 za watanganyika
c) Nini mchango wa zanzibar katika pato la taifa?
 
Back
Top Bottom