Zanzibar inaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya MASHOGA wenye Ukimwi

Status
Not open for further replies.
Ktk moja ya paper juu ya women sexuality and islam, huko uarabuni, mtafiti mwandishi mmoja aliandika kwamba mahusiano ya kishoga na kinyume na maumbile miongoni mwa waarab hao yanayoshamiri kila uchao,yanahusishwa na iman yao kwamba wanawake na au uke ni najisi kwa sababu ya hedhi na hivyo wanaamin kuwa kinyume cha maumbile huwaweka safi. Na kwa wingi wao, hao ndo wanaichafua dunia kwa usodoma, waarab na wamarekan mrengo wa kishetan. Ni muhimu tuiepuke dhambi hiyo kwa usalama wetu kwa kujitenga nao. Imeandikwa ondokeni kati yao mkatengwe nao. Nuru na giza haviwezi kukaa pamoja. Wamelaaniwa wote wanaofanya ushetani huo. Anglican na sheria zao za kishoga(wahusika tu wa ushoga) wao pia ni mamluki tu kwani ukristo wa kweli unapinga ushoga bila mjadala-wamelaniwa. Ushoga ni dhambi pekee iliyopelekea Mungu kuangamiza binadam kwa moto. ACHA KABISA NA TAFUTENI TOBA YA KWELI.
 
Ttzo kule zanzibar watanganyika wanaingia wengi bila ya taratibu maalumu na ndio ukaona data zinapaa juu,punguzeni kwenda wengi watanganyika mtavizamisha visiwa na inasemekana miaka ya karibuni watanganyika wengi wao ni ******* zanzibr.

Kwa kuwasingizia watanganyika hamjambo, halafu pale kwenye nyotanyota sijui ndio tusi?, yaani sijaelewa mkuu Nurdin,
 
Sioni kama kuna haja ya kuwahukumu waislamu wote! ninavyojua ni din nzuri tu! nimelelewa na kukuzwa na hii dini even if i am a christian lakini kuna wahuni wanaotumia uhuni wao kulazimisha upumbavu! naomba ieleweke! Tanzania is for Tanzanians na sisi wote ni ndugu!!


jindanganye! hutujui?
 
kwa Raju, baa maarufu kwa mashoga zenji nimetoka huko jana, imefungwa kwa mambo yake ya kishetwani
 
kwa Raju, baa maarufu kwa mashoga zenji nimetoka huko jana, imefungwa kwa mambo yake ya kishetwani

Ilifungwa kwa kosa la supu ya binadamu kunywewa kwa siku nyingi pale, yaan kuna Mzee alikufa, baada ya kuuliwa hakuzikwa ila kwa siri alitumbukizwa kwenye tank ya maji, alioza ile baya ila watu waliendelea kunywa kupikia supu na kuogea yale maji
 
1 September 2009
Mashoga wa Zanzibar waongoza kwa ukimwi

KISIWA cha Unguja, kinaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya mashoga wanaoishi na virusi vya ukimwi.

Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam na Dk Subilaga Kasesela-Kaganda wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids), alipokuwa akizungumza katika kongamano kuhusu maambukizi ya ukimwi kwa wafanyabiashara ya ngono, mashoga na watumia dawa za kulevya.

Alisema Zanzibar ndio eneo lenye mambo ya ushoga hapa nchini na kwamba asilimia 12 ya watu wanaoishi na virusi vya ukimwi katika Kisiwa cha Unguja ni wale wanaojishughulisha na mambo hayo.

Alisema baadhi ya sababu zinazochangia kukua kwa tatizo hilo ni vishawishi, wazazi kuwa mbali na watoto wao, yatima wanaokosa malezi mazuri, watoto wa kiume kulelewa na mama kwa kipindi kirefu na mtoto wa kiume kupenda kuvaa mavazi ya kike.

Alisema sababu nyingine zinazochangia tatizo hilo ni mazingira ya shule za bweni, ambazo baadhi yake zina wanafunzi wa kiume pekee, mwanaume kuwa na homoni nyingi za kike na wanaume wengi kukaa sehemu moja kama jeshini na magerezani.

"Na wanawake wanaopenda kufanya ngono ya haja kubwa wanapaswa nao kujua kuwa ina hatari zaidi, kwa maana ya kupata maambukizo kuliko njia ya uke,"alisema Dk Kaganda.

Alisema utafiti uliofanywa umeonyesha kuwa asilimia sita ya Watanzania wanaishi na virusi vya ukimwi, wanawake wakiwa ndio waathirika wakubwa wa tatizo hilo.

Dk Kaganda alisema tatizo hilo liko zaidi katika maeneo ya mijini na ligawagusa mno watu wazima na wanawake wenye uwezo wa kufanya ngono na watoto wadogo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa shirika la TAWIF lililoandaa kongamano hilo, Fransisca Matao alisema jamii inachangia kwa kiasi kikubwa watoto wengi kuwa mashoga kufuatia kuwanyanyapaa na kuwatenga.

Imetoka: Gazeti la Mwananchi
 
1 September 2009
Mashoga wa Zanzibar waongoza kwa ukimwi

KISIWA cha Unguja, kinaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya mashoga wanaoishi na virusi vya ukimwi.

Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam na Dk Subilaga Kasesela-Kaganda wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids), alipokuwa akizungumza katika kongamano kuhusu maambukizi ya ukimwi kwa wafanyabiashara ya ngono, mashoga na watumia dawa za kulevya.

Alisema Zanzibar ndio eneo lenye mambo ya ushoga hapa nchini na kwamba asilimia 12 ya watu wanaoishi na virusi vya ukimwi katika Kisiwa cha Unguja ni wale wanaojishughulisha na mambo hayo.

Alisema baadhi ya sababu zinazochangia kukua kwa tatizo hilo ni vishawishi, wazazi kuwa mbali na watoto wao, yatima wanaokosa malezi mazuri, watoto wa kiume kulelewa na mama kwa kipindi kirefu na mtoto wa kiume kupenda kuvaa mavazi ya kike.

Alisema sababu nyingine zinazochangia tatizo hilo ni mazingira ya shule za bweni, ambazo baadhi yake zina wanafunzi wa kiume pekee, mwanaume kuwa na homoni nyingi za kike na wanaume wengi kukaa sehemu moja kama jeshini na magerezani.

“Na wanawake wanaopenda kufanya ngono ya haja kubwa wanapaswa nao kujua kuwa ina hatari zaidi, kwa maana ya kupata maambukizo kuliko njia ya uke,”alisema Dk Kaganda.

Alisema utafiti uliofanywa umeonyesha kuwa asilimia sita ya Watanzania wanaishi na virusi vya ukimwi, wanawake wakiwa ndio waathirika wakubwa wa tatizo hilo.

Dk Kaganda alisema tatizo hilo liko zaidi katika maeneo ya mijini na ligawagusa mno watu wazima na wanawake wenye uwezo wa kufanya ngono na watoto wadogo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa shirika la TAWIF lililoandaa kongamano hilo, Fransisca Matao alisema jamii inachangia kwa kiasi kikubwa watoto wengi kuwa mashoga kufuatia kuwanyanyapaa na kuwatenga.

Imetoka: Gazeti la Mwananchi
cc MZIMU FaizaFoxy kahtaan
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom