Kwanini Usagaji umekithiri?? - ZanzibarwebsiteHuko Bara sheria juu ya usagaji na ushoga inasemaje?
Swali:
Takriban 99% ya Wazanzibari ni Waislam, if I am correct, correct me if I am wrong. Ingawa ni asilimia kubwa namna hiyo, Zenji inaongoza kwa mashoga, kwanini? Je, ushoga unafumbiwa macho na islam?
<br />Huko Bara sheria juu ya usagaji na ushoga inasemaje?
<br />
<br />
UNAWABWA MSALABANI
Mada husika ni kuhusu visiwani, so sijaona umuhimu wa wewe kufanya comparative analysis na tanganyika coz hata ukipata jibu kwa approach hii unayotumia kamwe hautapata jibu sahihi la mada husika.Kwani huko Tanganyika vipi?
Kwani kwa mujibu wa nchi zinazofuata rules of law (Utawala wa Sheria ) lazima upatikane ushahidi wa kutosheleza kabla kuwafikisha mahakamani.
kichwa cha habari na yaliomo ndani ni tofauti, hatuoni hapo alipo sema kuwa vitendo hivyo c kosa. wewe ndio unasema hivyo.Mwanasheria mkuu wa Z'bar amesema watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja visiwani hapa hawawezi kutiwa hatiani bila ya kuwapo kwa ushahidi dhidi yao................................ Chanzo: nipashe.
Kwa hiyo Tanganyika isitajwe! maana nako kumejaa mabarazuliMada husika ni kuhusu visiwani, so sijaona umuhimu wa wewe kufanya comparative analysis na tanganyika coz hata ukipata jibu kwa approach hii unayotumia kamwe hautapata jibu sahihi la mada husika.
Waarabu au hata wapemba wanapenda kunanilii wake zao mpaka kinyume na maumbile...duh sasa wanahamia kwa wanaume wenzao...
............... Makamba alisema hizi ni tuhuma tuu ! Mafisadi wako huru na wana haki mpaka watiwe hatiani kwa ushahidi usio na shaka ! Ndio maana Richmond hakuna hata mtu mmoja kafungwa/katiwa ndani ! (utawala wa Sheria)Utapataje hao watu wasio pungua watatu, meaning wanaume watatu AU wanawake SITA? Au na hao mashaidi ndio hivyo tena?
Huu si ndio usanii ninao usema kuwa wanafagilia ushoga?
<br />Huko Bara sheria juu ya usagaji na ushoga inasemaje?
hao waanglikana na wamarekani ni wajinga tu.. Halafu, kwanza mimi sio mmarekani. Pili, mimi sio m'anglikana..Tatu, huo ni ukweli, nasiki zenji kuna pool table za height ndefu maana watu hawaaminiki huko. (Ali...siipondi dini yako, nakujua sana mkuu)................... Anglikani wameruhusi na kulibariki jambo hili na wana Askofu shoga anasimama madhabahuni, Obama karuhusu jeshi lake la Marekani wajivinjari na ushoga, wewe wapemba na waarabu ndio wanao kupa shida !?
sodoma na gomora itajirudia kama zanzibar serikali inalegezea..jamani tumwombe mungu atusaidiaMwanasheria mkuu wa Z'bar amesema watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja visiwani hapa hawawezi kutiwa hatiani bila ya kuwapo kwa ushahidi dhidi yao................................ Chanzo: nipashe.
Ndo maana muungano lazima ufeNdo wanafagilia ushoga zenji.
Ndo wanafagilia ushoga zenji.
Swali:
Takriban 99% ya Wazanzibari ni Waislam, if I am correct, correct me if I am wrong. Ingawa ni asilimia kubwa namna hiyo, Zenji inaongoza kwa mashoga, kwanini? Je, ushoga unafumbiwa macho na islam?
Kwa hiyo Tanganyika isitajwe! maana nako kumejaa mabarazuli