Siku ya kuiacha Zanzibar naitabiria kuwa itakuwa ni Somalia, Sudan, Syria , Afghanistan mpya . Uwezekano mkubwa wa Unguja na Pemba kujengeana uhasama ni mkubwa Sana. Kale Ka-Zanzibar kanategemea utalii tuu kwaajili ya income. Wataanzisha visheria vitakavyo fukuza utalii ndiopo umasikini utaitafuna Znz. Mafuta ni story za Alinacha ambazo zimekuepo zikiimbwa tokea 1960 hayajawahi kuchimbwa .Na siku tukisema wabara tujitoe hao jamaa sijui kama watakubali kirahisi au wanaweza kudai fidia UN utadhani ni ndoa ya binadamu