tilmikha
JF-Expert Member
- Feb 27, 2013
- 496
- 604
Kile kiti ni Cha Zanzibar kiliopo huko UN, soma vizuri historiaSio kweli Zanzibar haitambuliki duniani ndioaana haina kiti UN wala haipo FIFA
Kile kiti ni Cha Zanzibar kiliopo huko UN, soma vizuri historiaSio kweli Zanzibar haitambuliki duniani ndioaana haina kiti UN wala haipo FIFA
Mtaleta bure?!!!Nyinyi hata mchanga wa kujengea mnataka utoke bara halafu unakuja kupiga kelele
Na ndio ashakua raisi, vumilia tuSamia hatufai.
I'm done
Unajua sababu ya Uamsho kuwa ndani? Ndio utapata jibu kuwa wazanzibari wanautaka au hawautakiUnajuaje Wabara ndio wanautaka zaidi?
Ni lini wananchi wa Bara a waliulizwa wakasema wanautaka huu Muungano ?
Na ni lini Wazanzibar walisema hawautaki?
Atatoka hata kwa lazima..!Na ndio ashakua raisi, vumilia tu
Ndio maana wazanzibari wanataka ile Account ya pamoja ya Muungano ifanye kazi. Na vile vitu vyote vilivyoainishwa kama ni vya Muungano , mapato yagawanywe kama ilivyoaininisha Katiba. Venginevyo vunjeni huo Ukoloni munaouita Muungano. Hata huo Ukoloni huekeza kwenye koloni lake. Mfano mdogo Wajerumani ndio waliojenge njia ya Reli, ndio walioanzisha mashamba ya Mkonge, ndio walioanzisha kilimo cha Kahawa na mpaka leo ndio munayoringia, wajerumani ndio waliokifanyia structure hicho Kiswahili chetu kikawa kinaandikwa kwa herufi za kilatin. Sasa sisi huu unaitwa Muungano kwa Muda wa miaka hii 56 kuna kipi Zanzibar cha kukumbukwa kilicholetwa na huu unaoitwa Muungano? Hata ukimuona Mzanzibari anatetea Muungano, basi aidha kapewa cheo Bara na anteta maslahi yake na familia yake lakini sio ya Wazanzibari, na huo ndio ukweli mpaka dunia itamalizikaWatu tunataka Elimu mchango ambao Zanzibar inatoa kwenye Serikali ya Muungano. Naona kama Tunaumia sana sisi wa Bara. Kuubeba Muungano.
Mfano nataka kuoa. Nimeandaa Harusi baadaye nikaamua kutofanya sherehe. Je zile pesa nagawa pia kwa bibi harusi? Ndicho ambacho alichofanya Samia. Yaani pesa hizi ambazo zimeandaliwa na Watanzania Bara kwa Sherehe isiyo na tija kaamua zigawanywe sawa kwa sawa.
Hili suala tuanze likemea mapema. Kodi za Wabara zitumike kwa Wabara. Na Wazanzibar zitumike kwao kwa maendeleo ya nchi yao.
Tabia ya kupendelea eneo moja analotoka Rais ikomeshwe isiendelee.tuliona miradi mingine ilivyokuwa ikipelekwa sehemu ambazo hiyo miradi haikuwa na tija.
Lakini suala langu kubwa ni kupeana Elimu kuwa kuna pesa gani ambazo Bara inapata toka Zanzibar? Au zinaingia kwenye Muungano toka Zanzibar?
But pia hizi pesa anazotaka zipelekwe Zanzibar pia. Zilitokea au patikana wapi? Kodi za Wabara zisitumike vibaya. Watu kwa sasa kwa woga au Unafiki wanashindwa kuhoji hili jambo.
Ila wajue mwanzo wa ngoma ni lelele.... Tusikubali mambo ya hovyo kuendelea. Na mchakato wa Katiba urudishwe ili haya mahusiano yawe yame balance. Zanzibar wasionewe hali kadhalika Bara pia wasionewe. Hawa wabara ndo hata Serikali yao hawana.
Kwanini mmekataliwa kuwa mwanachama wa FIFAKile kiti ni Cha Zanzibar kiliopo huko UN, soma vizuri historia
Wanadai wana kiti UN wakati UN inatumbalika Tanzania kama member hakuna Zanzibar sasa sijajua hicho kiti kinawasaidia niniKwanini mmekataliwa kuwa mwanachama wa FIFA
Kwani wao hawalipi TRA, tumieni akili kidogoNilianza kuwa na mashaka pale aliposema Serikali itanunua meli 8 za uvuvi 4 Tanganyika na 4 Zanzibar, hii hapana aisee, Serikali ya muungano yaan tulipe kodi sisi wao wachukue meli 4,Mama Samia nchi itakushinda
Wanasiasa ndio wanaushikilia Muungano kwa sababu ambazo pengine raia hatuzijuiMnalalamika Zanzibar haina mchango wowote kwenye Muungano,ila AJABU NI KWAMBA WAZANZIBARI WAKITAKA KUJIONDOA KWENYR HUO MUUNGANO MNATUMIA HADI MITUTU KUHAKIKISHA HAWAONDOKI.
CCM na viongozi wa serikali wanaotoka Bara akili zao si timamu!
Mkuu Zanzibar inachangia Jina maana hebu piga picha tu Tungeendelea kuitwa "Tanganyika" jina lenyewe linahuzunisha kabisa.
Mkuu Zanzibar inachangia Jina maana hebu piga picha tu Tungeendelea kuitwa "Tanganyika" jina lenyewe linahuzunisha kabisa.
Hiyo za tayari ni ZanzibarKu-resolute mambo tutajiita tanzanyika
Mama ashasema yeye na JPM ni wamoja.. Hivyo ameiga ile tabia ya kutofata sheria kwenye maamuzi yake... Ukiona hata Mwinyi ndio kama makamu wa Rais , wakati yeye ni wazinzabar, wakati hata kwenye line up ya uongozi wa uraisi wa JMT , yeye hayumo... Kwenye hotuba yake bungeni alivunja protocol, akaanza kumtaja Raisi wa Zanzibar , kabla ya makamu wa rais... Analeta mambo ya kimakunduchi .. aache siyo vizuri..Watu tunataka Elimu mchango ambao Zanzibar inatoa kwenye Serikali ya Muungano. Naona kama Tunaumia sana sisi wa Bara. Kuubeba Muungano.
Mfano nataka kuoa. Nimeandaa Harusi baadaye nikaamua kutofanya sherehe. Je zile pesa nagawa pia kwa bibi harusi? Ndicho ambacho alichofanya Samia. Yaani pesa hizi ambazo zimeandaliwa na Watanzania Bara kwa Sherehe isiyo na tija kaamua zigawanywe sawa kwa sawa.
Hili suala tuanze likemea mapema. Kodi za Wabara zitumike kwa Wabara. Na Wazanzibar zitumike kwao kwa maendeleo ya nchi yao.
Tabia ya kupendelea eneo moja analotoka Rais ikomeshwe isiendelee.tuliona miradi mingine ilivyokuwa ikipelekwa sehemu ambazo hiyo miradi haikuwa na tija.
Lakini suala langu kubwa ni kupeana Elimu kuwa kuna pesa gani ambazo Bara inapata toka Zanzibar? Au zinaingia kwenye Muungano toka Zanzibar?
But pia hizi pesa anazotaka zipelekwe Zanzibar pia. Zilitokea au patikana wapi? Kodi za Wabara zisitumike vibaya. Watu kwa sasa kwa woga au Unafiki wanashindwa kuhoji hili jambo.
Ila wajue mwanzo wa ngoma ni lelele.... Tusikubali mambo ya hovyo kuendelea. Na mchakato wa Katiba urudishwe ili haya mahusiano yawe yame balance. Zanzibar wasionewe hali kadhalika Bara pia wasionewe. Hawa wabara ndo hata Serikali yao hawana.
Tupe mfano wa msaada walioomba kwa siku za hivi karibuniLabda hujaelewa, msaada wowote wanaoomba Zanzibar, hauendi Zanzibar moja kwa moja kama walivyoomba ni lazima upitie kwenye Jamhuri ndipo Zanzibar wapatiwe kistahiki kulingana na mgawanyo! Sasa kwanini iwe hivyo? Kwanini isiwe msaada wanaoomba Zanzibar usiende Zanzibar kwa walengwa moja kwa moja.
Mambo ya Muungano yalikuwa 11, hadi sasa yamefika 24.
Na siku tukisema wabara tujitoe hao jamaa sijui kama watakubali kirahisi au wanaweza kudai fidia UN utadhani ni ndoa ya binadamuMuungano hauna faida Kwa watanganyika. Faida ipo Kwa wazanzibar tuu
Muungano huu hauna faida kwa watanganyika. Unawafaidisha wazanzibari tu.
Anayebisha anyooshe mkono juu, au hata afanye kama anajikuna. Halafu alete faida moja tu ambayo mtanganyika anaipata.