Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,038
- 74,438
unapotosha sana... ukweli ni kwamba zanzibar wataomba jambo lao wanalolitaka kupitia tanzania na linaporudi zanzibar si kweli kuwa tanganyika italimega kwanza then ndio liende kwa wazanzibar la hasha isipokuwa jina tu la zanzibar au tanganyika ndio yenye shida kimataifa lakini kila mmoja ataomba jambo lake kwa jina la tanzania na alichokiomba atakitumia yeye mwenyewe na si wote
kuna mwingine pia ametia chumvi kwamba mapato ya utalii zanzibar yanakusanywa na tra tanganyika na kuingizwa kwenye mapato ya bara si kweli hata kidogo
zanzibar wanakusanya kila kitu wao na kukitumia wao wenyewe kama nchi hii ni kutaka kuhalalisha hiki walichokifanya cha kugawanya mapato 50/50
Soma hiyo, anzia kipengele namba 8.