Zanzibar inachangia nini kwenye Serikali ya Muungano? Isije ikawa wanatumia Kodi za Bara

unapotosha sana... ukweli ni kwamba zanzibar wataomba jambo lao wanalolitaka kupitia tanzania na linaporudi zanzibar si kweli kuwa tanganyika italimega kwanza then ndio liende kwa wazanzibar la hasha isipokuwa jina tu la zanzibar au tanganyika ndio yenye shida kimataifa lakini kila mmoja ataomba jambo lake kwa jina la tanzania na alichokiomba atakitumia yeye mwenyewe na si wote

kuna mwingine pia ametia chumvi kwamba mapato ya utalii zanzibar yanakusanywa na tra tanganyika na kuingizwa kwenye mapato ya bara si kweli hata kidogo
zanzibar wanakusanya kila kitu wao na kukitumia wao wenyewe kama nchi hii ni kutaka kuhalalisha hiki walichokifanya cha kugawanya mapato 50/50
Screenshot_20210426-153005.jpg

Soma hiyo, anzia kipengele namba 8.
 
Tulimwona Mtikila ni kichaa wakati akiipambania Tanganyika.
Kwa kweli tunaumizwa sisi tuliopoteza nchi yetu.
Hii ni ndoa ngumu na ya upande mmoja.
Sawa na kijana ameoa amebeba jukumu la kutunza ukweni na familia yake ilhali wakwe hawana mchango kwa familia.
Muungano unaendeshwa na Tanzania huku ukihudumia Zanzibar wenye makusanyo yao na hawachangii lolote.
Kitu simple tu! Hawana mchango/hawachangii, inashindikana nini kuwaacha waendelee na ustaarabu wao kwa kuwaachia huru. Lakini kwanini muungano unang'ang'aniwa?
 
Zanzibar wananufaila nini na muungano??
Muungano huu hauna faida kwa watanganyika. Unawafaidisha wazanzibari tu.

Anayebisha anyooshe mkono juu, au hata afanye kama anajikuna. Halafu alete faida moja tu ambayo mtanganyika anaipata.
 
Viwanda vya kwetu vinanufaika kwa sababu vinapata soko kubwa zaidi.
Mkuu tumeona miaka hii sukari ni shida na bei ya juu, lakini Znz wana sukari na bei ya chini.

Sheria hairuhusu wa Znz kutuuzia sisi sukari, ila sisi tunaruhusiwa kuwauzia wao.

Je unahisi nani anafaidika? Viwanda vya Znz ama vya huku kwetu?
 
Basi wabara acheni kulalamika
Iyo sio kwa zanzabar tu ni ngumu sana ktu kikiwa pamoja au kikiungana kutaka kujitenga si kaz ndogo ,mfano angalia tigray au catalunya na kwingneko
 
Ajabu Tanganyika hataki kumuachia Zanzibar!
Mkuu wewe ndiyo utakuwa hujaelewa. Tulia usome tena.

Kuna sehemu 3:

1. Zanzibar
2. Tanganyika
3. Tanzania

Katika Tanzania kuna Zanzibar na Tanganyika.

Zanzibar yupo hai ila Tanganyika ni marehemu kabisa.

Zanzibar anaweza omba hata msaada. Tanganyika - hola!

Zanzibar anapata gawio tokea Tanzania. Tanganyika - hola!

Zanzibar anaweza kufurukuta. Tanganyika - hola!

Tanganyika is a loser in everything!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Hatuna jeshi la majini(Navy)?
Hahahahahah kwahio Zanzibar mchango wake ni jina tu! Wonders shall never end ila poa tu waiche Zenji ije itekwe ili akina Alshababu wapitie zenji kuja kuwaua bara na kupora mali! Nafikiri hilo litapendeza sana maana kinachotokea Kinshasa na Brazavile huku hamna ufahamu nacho!
 
jiulize
unahisi kwa nini bara ndio wanautaka muungano kuliko wa zenji!!?
Unajuaje Wabara ndio wanautaka zaidi?

Ni lini wananchi wa Bara a waliulizwa wakasema wanautaka huu Muungano ?


Na ni lini Wazanzibar walisema hawautaki?
 
Ajabu Tanganyika hataki kumuachia Zanzibar!

Kuna tofauti ya wanufaika wachache na Tanganyika!

Wasiotaka kumwacha Zanzibar ni watanga nyikawanufaika wachache waliopo madarakani. Hao wakusikia kuwepo kura ya maoni, katu hawawezi kukubali.

Nakazia, mama sasa yuko madarakani kutokea Zanzibar na aruhusu kura ya maoni pande zote za Muungano.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kwanini hamtaki kuwaachia wanaowanyonya?

Hatutaki? Tofautisha sisi na wachache wanufaika madarakani ambao hata kura ya maoni tu hawawezi kukubali iwepo.

Nakazia, mama sasa yuko madarakani kutokea Zanzibar na aruhusu kura ya maoni pande zote za Muungano.
 
Watu tunataka Elimu mchango ambao Zanzibar inatoa kwenye Serikali ya Muungano. Naona kama Tunaumia sana sisi wa Bara. Kuubeba Muungano.

Mfano nataka kuoa. Nimeandaa Harusi baadaye nikaamua kutofanya sherehe. Je zile pesa nagawa pia kwa bibi harusi? Ndicho ambacho alichofanya Samia. Yaani pesa hizi ambazo zimeandaliwa na Watanzania Bara kwa Sherehe isiyo na tija kaamua zigawanywe sawa kwa sawa.

Hili suala tuanze likemea mapema. Kodi za Wabara zitumike kwa Wabara. Na Wazanzibar zitumike kwao kwa maendeleo ya nchi yao.

Tabia ya kupendelea eneo moja analotoka Rais ikomeshwe isiendelee.tuliona miradi mingine ilivyokuwa ikipelekwa sehemu ambazo hiyo miradi haikuwa na tija.

Lakini suala langu kubwa ni kupeana Elimu kuwa kuna pesa gani ambazo Bara inapata toka Zanzibar? Au zinaingia kwenye Muungano toka Zanzibar?

But pia hizi pesa anazotaka zipelekwe Zanzibar pia. Zilitokea au patikana wapi? Kodi za Wabara zisitumike vibaya. Watu kwa sasa kwa woga au Unafiki wanashindwa kuhoji hili jambo.

Ila wajue mwanzo wa ngoma ni lelele.... Tusikubali mambo ya hovyo kuendelea. Na mchakato wa Katiba urudishwe ili haya mahusiano yawe yame balance. Zanzibar wasionewe hali kadhalika Bara pia wasionewe. Hawa wabara ndo hata Serikali yao hawana.
Kasome vizuri hati ya muungano inaongea nini kabla ya kulalamika
 
Mama anatakiwa aongoze nchi kwa haki. Hizo hela zingerud zilikotoka. Kama kuna sehemu ilitokea Zanzibar basi irudi hivyo hivyo. Juzi kwenye Hotuba yake alisikika akisema kua Bandari inaweza ikajengwa popote, na akataja eneo mojawapo pia la Zanzibar sikumbuki wapi. Lakini tujiulize je hilo eneo liko kwenye bajeti au mafikirio ya kujenga Bandari?

alitaji kizimkazi ndio sehemu alipo zaliwa mama samiha
 
Nilianza kuwa na mashaka pale aliposema Serikali itanunua meli 8 za uvuvi 4 Tanganyika na 4 Zanzibar, hii hapana aisee, Serikali ya muungano yaan tulipe kodi sisi wao wachukue meli 4,Mama Samia nchi itakushinda
 
Watu tunataka Elimu mchango ambao Zanzibar inatoa kwenye Serikali ya Muungano. Naona kama Tunaumia sana sisi wa Bara. Kuubeba Muungano.

Mfano nataka kuoa. Nimeandaa Harusi baadaye nikaamua kutofanya sherehe. Je zile pesa nagawa pia kwa bibi harusi? Ndicho ambacho alichofanya Samia. Yaani pesa hizi ambazo zimeandaliwa na Watanzania Bara kwa Sherehe isiyo na tija kaamua zigawanywe sawa kwa sawa.

Hili suala tuanze likemea mapema. Kodi za Wabara zitumike kwa Wabara. Na Wazanzibar zitumike kwao kwa maendeleo ya nchi yao.

Tabia ya kupendelea eneo moja analotoka Rais ikomeshwe isiendelee.tuliona miradi mingine ilivyokuwa ikipelekwa sehemu ambazo hiyo miradi haikuwa na tija.

Lakini suala langu kubwa ni kupeana Elimu kuwa kuna pesa gani ambazo Bara inapata toka Zanzibar? Au zinaingia kwenye Muungano toka Zanzibar?

But pia hizi pesa anazotaka zipelekwe Zanzibar pia. Zilitokea au patikana wapi? Kodi za Wabara zisitumike vibaya. Watu kwa sasa kwa woga au Unafiki wanashindwa kuhoji hili jambo.

Ila wajue mwanzo wa ngoma ni lelele.... Tusikubali mambo ya hovyo kuendelea. Na mchakato wa Katiba urudishwe ili haya mahusiano yawe yame balance. Zanzibar wasionewe hali kadhalika Bara pia wasionewe. Hawa wabara ndo hata Serikali yao hawana.
Ubuyu wa Zanzibar.
Wapemba wanao wake wengihasa wanawake toka bara.
Wanalipa umeme bei rahisi, sisi tunawalipia umeme ana maji.
wanamiliki nyumba na viwanja huku ila sisi haturuhusiwimkumiliki kule kwao.
kipindi cha mfungo wa ramasdhan nchi nzima hamna kula wala pombe ila sisi tukifunga kwaresma wao wapo klaabu zetu na mademu zetu
 
Muungano huu hauna faida kwa watanganyika. Unawafaidisha wazanzibari tu.

Anayebisha anyooshe mkono juu, au hata afanye kama anajikuna. Halafu alete faida moja tu ambayo mtanganyika anaipata.
Faida tunayoipata Tanganyika ni kuhodhi mamlaka na majukumu ya serikali ya muungano kwa hiyo lazima tutoe mchango mkubwa kwa sabab tanganyika ndio muungano wenyewe bila ya Tanganyika muungano hakuna.
 
Zanziba kimsingi inapaswa iwe mkoa moja au miwili. Kiuchumi haina tija ila kisiasa. Ukiangalia ni wazanzibari wangapi wanaishi bara utakuta ni hasara tu. Hawana tofauti na magabacholi wengine. Nyerere alipenda sana kuunganisha Afrika akashindwa na kuunganisha nchi yake na kiraka cha matatizo. Hata hivyo, ukiwaacha waondoke kwenye muungano ima watarejea kwenye utumwa wa waarabu au watamalizana kwa kuchinjana baina ya wazanzibara na wazanzirabu aka wapemba.
Nyinyi ndio mtakao chinjana, kwakuwa mnamakabila zaidi ya mia, ukiwacha chuki zilizojengwa na wanasiasa kwa maslahi yao binafsi, wananchi wa Zanzibar ni wamoja. Na kabla ya muungano Zanzibar ilikuwepo.
 
Kwanza Zanzibar ni eneo tu lililopo tanganyika tatzo shombe shombe na waaraabu ndio wametuharibia hicho kisiwa chetu huko ni kama wilaya hapakua na haja ya kua nchi,


Hawana aridhi, kodi yao ndogo wanatunyonyaa, mifugo inavushwa kwenda visiwani, hawana nyama wala mashamba ya mchele , sukari tunawapelekea na akili hawana wa mwisho kila kitu ndio maana hata hawawezi
Fikili vizuri ni taMAA tuu wajawa na kujazwa ujinga na waarabu.

Wanakuja kwetu kuuza bidhaa, aridhi wanapata bure wanaoa binti zetu hatuwabagui ila wao ukioa na majini unatupiwa mpaka wakupende ndio salama yako hawajui maridhiano.

Nchi ya ni udini full kunyanyaswa hembu tuwaachie wajitawale kwanzaa sio wazanzibar ni kuna wapemba naa unguja .


Mie nawaonaga kama kichwa cha mwenda wazimu na haraakati zaoo za lofaa.

Wapite hivi.
Mbona makasiriko mengi, sukari, mchele na bidhaa nyingine zinatoka nje, sehemu ndogo tu ndio inatoka bara. Wabara wengi hamna elimu ya muungano, tofauti na wanzanzibar wengi. Hata mtoto wa primary wa Zanzibar anajua athari za muungano kwa Zanzibar.
 
Tokea mapinduzi wazanzibar wamekuwa wakikusanya kodi kupitia TRA halafu zinaenda kutumika kule Tanganyika unyamwezini, zanzibar haifaidiki na kodi hii ata shilingi 1., lakini pia kumbuka BOT msingi wake Zanzibar ndio walitoa fedha zao nyingi kuanzishwa kwake laki leo BOT inafanywa kuwa ni zao la Tanganyika tu.,
Hawana elimu ya Muungano wala hawajui historia ya Zanzibar. Dharau na majivuno ndio walionayo.
 
Back
Top Bottom