Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,565
- 10,645
Ndoa ya CCM na CUF ya kugawana madaraka ilihitimishwa jana kwa Rais wa ZNZ Dr Shein kutangaza baraza lake KUBWA la mawaziri lenye mawaziri kamili 19 na manaibu wake 6 na kufanya idadi kamIli ya watendaji wakuu wa Wizara kisiwani ZNZ kufikia 25!
ZNZ yenye wakazi milion moJa na ushehe ina uchumi ulioyumba mno kwa sasa;Uchumi wa ZNZ unategemea sana biashara za utalii na imeripotiwa kuwa kwa sasa biashara hiyo imedorora kufuatia kuanguka kwa uchumi wa dunia;lkn bila kujali hali hiyo Rais Shein akateua baraza KUBWA sana la Mawaziri tena akiwaweka hata mawaziri 3 wasio na wizara maalum!
CCM hata baada ya kupata misukosuko ya kukataliwa kwenye sanduku la kura kulikopolekea kupoteza majimbo mengi ya uchaguzi bado haijajifunza?CCM imepoteza majimbo 3 zaidi Unguja na huku ikishindwa kupata hata jimbo moja Pemba kwa sababu ya umaskini wa ZNZ ulikokithiri lknbado haijajifunza kitu?CCM imepoteza kiti cha Ubunge hadi Lindi na Singida sehemu ambazo ilikuwa ndiyo ngome yao kubwa lkn bado haijajifunza?Kwa nini watu Milion 1 wawe na Baraza la Mawaziri la watu 25 wakiwemo 3 wasio na viti maalum?Ndiyo yale yale ya kugawana madaraka kirafiki au?
Tuwafanye nini watu hawa wanaotumia makusanyao makubwa ya kodi zetu kulipana mishahara badala ya kuwekeza hela hizo kwenye mambo ya maendeleo?
ZNZ yenye wakazi milion moJa na ushehe ina uchumi ulioyumba mno kwa sasa;Uchumi wa ZNZ unategemea sana biashara za utalii na imeripotiwa kuwa kwa sasa biashara hiyo imedorora kufuatia kuanguka kwa uchumi wa dunia;lkn bila kujali hali hiyo Rais Shein akateua baraza KUBWA sana la Mawaziri tena akiwaweka hata mawaziri 3 wasio na wizara maalum!
CCM hata baada ya kupata misukosuko ya kukataliwa kwenye sanduku la kura kulikopolekea kupoteza majimbo mengi ya uchaguzi bado haijajifunza?CCM imepoteza majimbo 3 zaidi Unguja na huku ikishindwa kupata hata jimbo moja Pemba kwa sababu ya umaskini wa ZNZ ulikokithiri lknbado haijajifunza kitu?CCM imepoteza kiti cha Ubunge hadi Lindi na Singida sehemu ambazo ilikuwa ndiyo ngome yao kubwa lkn bado haijajifunza?Kwa nini watu Milion 1 wawe na Baraza la Mawaziri la watu 25 wakiwemo 3 wasio na viti maalum?Ndiyo yale yale ya kugawana madaraka kirafiki au?
Tuwafanye nini watu hawa wanaotumia makusanyao makubwa ya kodi zetu kulipana mishahara badala ya kuwekeza hela hizo kwenye mambo ya maendeleo?