Topical,
..hii posting yangu ni ktk kutafuta faida za muungano kwa Tanganyika.
..so far nimekutana na hasara tupu. mfano mdogo ni jinsi Tanganyika inavyobeba mzigo wa kuwalipa wabunge toka ZNZ.
Sijaona mtanganyika amepaza sauti kuvunja muungano hata mara moja...unafikiri ni wajinga ki-hivyo..
Wanawavyonza wazenj sana ndio maana wanao hicho kiasi kidogo sana ..peanuts
Nawashangaa wazanzibar kwa upole wao.