Alianza kufunga asiowataka sasa ameona haitoshi ameamua kuchoma biashara za watanzania.Taarifa zilizotufikia muda huu ni kwamba Hotel 5 zilizopo Jambiani Zanzibar zinateketea kwa moto. Chanzo cha moto huo hakijafahamika na kwamba hoteli zilizoathirika ni pamoja na Villa de Coco, Sharazad, Spice island, Fun Beach na Cobe.
Chanzo: TSN
View attachment 2016727View attachment 2016729View attachment 2016730
View attachment 2016740
Ni zamu ya Kisiwani kwa mujibu wa ratiba yetuTaarifa zilizotufikia muda huu ni kwamba Hotel 5 zilizopo Jambiani Zanzibar zinateketea kwa moto. Chanzo cha moto huo hakijafahamika na kwamba hoteli zilizoathirika ni pamoja na Villa de Coco, Sharazad, Spice island, Fun Beach na Cobe.
Chanzo: TSN
View attachment 2016727View attachment 2016729View attachment 2016730
View attachment 2016740
Mkuu,unauhakika hapo kwenye kuchoma🤔Alianza kufunga asiowataka sasa ameona haitoshi ameamua kuchoma biashara za watanzania.
Asante sana ntakaribiaNipo niko chakechake huku nala ulojo na juice ya tende karibu
Nimejirusha hapo Jambiani 2015 awamu ya Mzee Kikwete nilikaa wiki moja nakula Bata hapo galafu jioni nikawa natembelea Kijijini kupiga Soga na Wenyeji ilikuwa Burudani juu ya Burudani.
Very Sad kusikia janga la Mioto.
Nilikuwa nafanya kazi Barrick mambo yalikuwa supa kabla ya yule Hayawani kuingia na Awamu yake ya laana, na kufunga mgodi.inaonekanwa mkuu hicho kipindi ulikua unatengeneza pesa vizuri tu