pantheraleo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 691
- 878
KILICHOTOKEA MICHEWENI, ZANZIBAR
Watu walikuwa na mkutano wa Jimbo la Micheweni wamemaliza saa 12 watu wakaanza kurudi majumbani.
Kuna wanachama wa ACT, Shumba Mjini wakapita katika kijiji cha Kwale Kijiji ambacho kina CCM wengi.
Kilichotokea CCM wakawachokoza ACT wakaanza ugomvi wakaja Polisi. Usiku huu mabomu yanaendelea na Askari wanazidi kumiminika. Watu wanapigwa sana
Mpaka sasa kuna wengine wako hospitali Micheweni wengi wameumizwa.
ILANI: Video niliyoipata haifai kukaa hapa kwani inatisha
Watu walikuwa na mkutano wa Jimbo la Micheweni wamemaliza saa 12 watu wakaanza kurudi majumbani.
Kuna wanachama wa ACT, Shumba Mjini wakapita katika kijiji cha Kwale Kijiji ambacho kina CCM wengi.
Kilichotokea CCM wakawachokoza ACT wakaanza ugomvi wakaja Polisi. Usiku huu mabomu yanaendelea na Askari wanazidi kumiminika. Watu wanapigwa sana
Mpaka sasa kuna wengine wako hospitali Micheweni wengi wameumizwa.
ILANI: Video niliyoipata haifai kukaa hapa kwani inatisha