ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 602
- 1,526
Leo Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bernard Membe, watapokelewa asubuhi hii na Wazanzibar wa Unguja.
Matukio mbalimbali na picha za mapokezi tutawawekea hapa.
Matukio mbalimbali na picha za mapokezi tutawawekea hapa.