Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
So, Membe na ACT yake wameamua kuendelea na zoezi la kushiriki urais bara? Watu wapo after ruzuku na si vinginevyo
Wapinzani waungane wasiungane ushindi wa kishindo wa CCM upo pale pale
Tunapigwa kabla ya misa ya pili!Ivi jaman kwa mgawanyiko huu kweli tutaiweza ccm kweli??
Wapinzani huwa mnatuangusha sana wananchi au mna ajenda ya makusudi kubuy time ccm akiendelea kutawala??
Lisu ampishe Membe awe mgombea urais wa upinzani!Ongeza sauti kidogo
Zingechapishwa fomu mbili hakika Membe angekua ndiye mgombea wetu.Lisu ampishe Membe awe mgombea urais wa upinzani!
Kwani huko ACT wazalendo zilichapishwa fomu ngapi manka?Zingechapishwa fomu mbili hakika Membe angekua ndiye mgombea wetu.
Tunapigwa kabla ya misa ya pili!
Lisu ampishe Membe awe mgombea urais wa upinzani!
Leo Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bernard Membe, watapokelewa asubuhi hii na Wazanzibar wa Unguja.
Matukio mbalimbali na picha za mapokezi tutawawekea hapa.View attachment 1531746View attachment 1531747View attachment 1531748View attachment 1531749View attachment 1531917View attachment 1531918
View attachment 1531919
View attachment 1531926
Mkuu kama una akili timamu unaona kabisa hii si dalili njema kwa upinzani!CCM lazima wachanganyikiwe
Ndio maana wenye akili tunabaki kucheka tu tunaposikia eti ccm itaangushwa!Sasa sijui muundo wa serikali ijayo itakavyoundwa maana bara tunajua ni lissu zenji tunajua ni maalim, kazi ipo na tujiandae kisaikolojia ya serikali ya mseto
SawaMkuu kama una akili timamu unaona kabisa hii si dalili njema kwa upinzani!
Kwa akili yako ya kukusaidia kuvuka barabara tu, unadhani hata mkurugenzi wa uchaguzi ungekua ni wewe kwa Tanzania hii unadhani lissu atapata kura za kumuwezesha kua rais wa JMT?Wao wapate wabunge, ila rais awe wa ccm! Kweli wajinga ndio waliwao.
ACT tunapaswa kuunganisha nguvu na CDM tushinde bila kwa urahisi zaidi, hili ni jambo muhimu kabisa mwaka huu.Leo Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bernard Membe, watapokelewa asubuhi hii na Wazanzibar wa Unguja.
Matukio mbalimbali na picha za mapokezi tutawawekea hapa.View attachment 1531746View attachment 1531747View attachment 1531748View attachment 1531749View attachment 1531917View attachment 1531918
View attachment 1531919
View attachment 1531926