Taarifa mbaya sana kwa Lipumba hiiZanzibar imekuwa purple ghafla
Kwanini mkuu?Itabidi Tundu Lisu ampishe Membe awe mgombea urais wa upinzani!
Uko Nchi gani wewe!?? Hivi 2015 unafikiri CCM ilishinda uchaguzi.Ivi jaman kwa mgawanyiko huu kweli tutaiweza ccm kweli? Wapinzani huwa mnatuangusha sana wananchi au mna ajenda ya makusudi kubuy time ccm akiendelea kutawala?...
Na kazini waliambiwa wasaini kabisaSio Kama wale raia waliolazimishwa kumpokea Dr Hussein Mwinyi
ACT NOMA SANAHuko Zanzibar sasa hivi kuchele, wananchi kwa wingi, kwa utashi wao wanajisogeza bandarini kumpokea Maalim Seif na Membe..
Punguza sautiSio Kama wale raia waliolazimishwa kumpokea Dr Hussein Mwinyi
Mwambie magufuli ampishe Membe ndiyo kipenzi Cha ccmItabidi Tundu Lisu ampishe Membe awe mgombea urais wa upinzani!
Washaaaaaa washaaaa act wazalendo. Ndio chama pekee kikubwa cha upinzani ninachokiamini. Kina watu wasomi wenye kuujua uongozi. Watanzania tunawapenda sana act wazalendo. Membe Mungu akubariki uwe rais mupate wabunge wengi sana.
Mkuu kuweni wajanja Kuna uvccm wamemwaga kuchonganisha ACT na CDM hakuna mwana Act au cdm anaeweza kumponda lissu au membe, tutulieni cdm na act wanajua wanachokifanya necccm wanajua wanachopanga hapa Kuna mitego ya kimafia inapangwa na kila teamAcheni ubanafsi hivi nyie mnajiona keki eti eh! Kwamba Nyinyi ndio mna haki ya kuwa wapinzani, hii ndio Demokrasia kila mtu ashinde mechi zake!
Ongeza sauti kidogoMwambie magufuli ampishe Membe ndiyo kipenzi Cha ccm
Mkuu mark my Words Membe, Maalim na Zitto hawatanii Wanaingia full.Membe hajatoka CCM ili asindikize mtu alo.Wakati huo huo CCM hawawezi kufanya kosa la kumuondo mtu kwa sababu uwepo wao unawapa mtelezo. Hapa kila mtu anashinda mechi zake BossMkuu kuweni wajanja Kuna uvccm wamemwaga kuchonganisha ACT na CDM hakuna mwana Act au cdm anaeweza kumponda lissu au membe,tutulieni cdm na act wanajua wanachokifanya necccm wanajua wanachopanga hapa Kuna mitego ya kimafia inapangwa na kila team