kalamata
Senior Member
- Apr 16, 2011
- 144
- 29
.....Naanza kuamini usia wa baba wa Taifa aliposema NJE YA MUUNGANO HAKUTOKUA NA WA-NZANZIBAR,bali SISI WAUNGUJA NA WAO WA-PEMBA,na kwa kweli hali hii imeanza kujitokeza,hata kabla ya huo Muungano haujavunjika(HAUTAVUNJIKA)Thanks for Nice Picture, huo ndio ukweli ulivyo.