Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Vidonda tena...... !!!!?? Mbona anasema anamshukuru rais wa JMT mh. JPM kwa kufanikisha uchaguzi kwa "salama". Uchaguzi ulioisha kwa salama unakua na vidonda tena.Asante, tunafuatilia kwa makini, na haswa hotuba yake ya leo, itaponya vidonda vyote vilivyosababishwa na uchaguzi huu, japo makovu yataendelea kubaki.
P