Katika hali isiyo ya kawaida hapa UNGUJA wanachama wa CCM na CUF wameonekana mitaani wakishangilia ushindi kwa pamoja. Wanachama wa CUF wanathibitisha maneno ya Maalim Seif kwamba ushindi ni wa Wanzanzibari wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.