Zanzibar: Balozi Mohammed Mzale ateuliwa kuwa Kamishna wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Rais Hussein Ali Mwinyi amemteua Balozi Mohammed Mwinyi Mzale kuwa Kamishna wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma katika Ofisi ya Rais; Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora

Uteuzi wa Balozi Mzale umeanza leo Februari 18, 2022

AADBB435-DF54-4DF7-8A9C-700A47F402B9.jpeg
 
Back
Top Bottom