polisi zanzibar hufyatuwa risasi huku raiya wakiwa wametulia hayo yametokea darajani
walianza kutega mabomu munamo miaka ya ya elfumbili na kuwabebesha makosa uamsho cuf
hicho ndio kilikuwa kichaka au msitu wao na watanganyika kukosa akili za kufikiria munakubali kwa uamsho au cuf wanahusika
na kuandika comment za kuwabanza wazanzibar
sasa hamujiulizi tangu kutokea miripuko tanzania ile ya zanzibar na ya tanganyika kuna uchunguzi ulio kamilika au kuna mtuhumiwa aliye shikiliwa
na akishikiliwa ushahidi unakuwa ni dhaifu sababu kesi huwa za kubambikiza na kupachikia
haya ccm na serekali ya muungano usalama wa taifa na jeshi la polisi ndio linalo husika
walianza kutega mabomu munamo miaka ya ya elfumbili na kuwabebesha makosa uamsho cuf
hicho ndio kilikuwa kichaka au msitu wao na watanganyika kukosa akili za kufikiria munakubali kwa uamsho au cuf wanahusika
na kuandika comment za kuwabanza wazanzibar
sasa hamujiulizi tangu kutokea miripuko tanzania ile ya zanzibar na ya tanganyika kuna uchunguzi ulio kamilika au kuna mtuhumiwa aliye shikiliwa
na akishikiliwa ushahidi unakuwa ni dhaifu sababu kesi huwa za kubambikiza na kupachikia
haya ccm na serekali ya muungano usalama wa taifa na jeshi la polisi ndio linalo husika