Hii sio sawa jamani khaa kama hivyo ndivyo, je kama ingebainika mara zote binti alikuwa akiingiliwa na huyo huyo baba yake? itabadili maana na baba kutiwa hatiani? upuuzi huu
Ilibidi ipatikane full judgment na proceeding ya mahakama ndio tujadili kwa kina uamuzi wa mheshimiwa hakimu, kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka na reasoning za hakimu husika...vyenginevo tutakuwa tunapresume tu hapa na kila mmoja kueleza fikra zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.