real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Mfanyabiashara aliyejulikana kwa jina la Kasian ameingia matatani baada ya chakula kunaswa kwenye baa yake muda wa mchana na anatarajiwa kupandishwa mahakamani
Zanzibar serikali imekataza kwa mfanyabiashara yoyote kuuza chakula wakati wa mchana kwa vyovyote vile na usiku inaruhusiwa kwa waliopewa vibali tu
Mfanyabiashara huyo amedai chakula hicho kilikuwa kwa ajili ya mafundi kwenye baa yake na sio kwa ajili ya biashara
Zanzibar serikali imekataza kwa mfanyabiashara yoyote kuuza chakula wakati wa mchana kwa vyovyote vile na usiku inaruhusiwa kwa waliopewa vibali tu
Mfanyabiashara huyo amedai chakula hicho kilikuwa kwa ajili ya mafundi kwenye baa yake na sio kwa ajili ya biashara