baharia 1
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 1,254
- 1,254
Habar wakuu
Naombeni ushauri wenu, juzi tarehe 24/12 saa 4 usiku nilifanya muamala kutoka EzyPesa kwenda NMB bank sh 320,000. Lakini message iliyorudi nihiyo chini kwenye picha
Kila nikiwapigia nawanasema wanashughulikia kutoka trh.24 mpaka sasahivi hakuna majibu nishapiga sana majibu yaleyale nimechoka. je nifanyaje wakuu
Naombeni ushauri wenu, juzi tarehe 24/12 saa 4 usiku nilifanya muamala kutoka EzyPesa kwenda NMB bank sh 320,000. Lakini message iliyorudi nihiyo chini kwenye picha
Kila nikiwapigia nawanasema wanashughulikia kutoka trh.24 mpaka sasahivi hakuna majibu nishapiga sana majibu yaleyale nimechoka. je nifanyaje wakuu