Zantel ndio mkombozi

mhhh nyie mnaosema tigo wameinunua zantel ni ya kweli haya?

Zantel(Zanzibar Telecom) ni kampuni lenye hisa toka serikali ya zanzibar pamoja na Etisalat.
Tigo wao wamenu ua hiza za Etisalat(mwenye hisa nyingi) na SMZ wamebaki na hisa zao na jina la halitabadilishwa.
 
Kumbe watu tunang'ang'ana na mb 8 wakati kuna offer ipo poa kabisa.
Vipi line zao huwa zinapatikana kwa shida sana?

Mimi hii epic nnayo tangia inaanzishwa. Walikua Na mb 125 ndio sasa zimeshuka hadi 100. Na ikitokea nimeishiwa na mb au dakika najiunga na mpaka Basi ya sh 600 hii kwa masaa 24
 
Yule dada alikua anafanya kazi zantel na Ni katika watu walopunguzwa kazi hivi karibuni. Labda bado ana machungu yake

Usambaaji wake mikoani upoje?...
Natumia tigo ila nikienda kisarawe tu ni majanga...
Je nikinunua hii line nina uhakika wa internet ya fasta mikoa yote?
Tigo nawapenda ila wanani udhi tu...
 
mm nipo moshi natumia zantel sinashida ya internet kwani mitandao mingine ikiwa ktk ntwork ya E hawezi kaz cha ajabu zantel una download vitu poa tu ba kifurushi cha week cha buku 2 kiko poa dk 45 sms 1000 mb za kutoshs
 
Zantel ni wazuri sana, kwa sasa pia wana mfumo mpya wa mteja kujipatia kipato kwenye simu yake, iko hivi..

1. Wana discourage ununuaji wa vocha za kukwangua but through you sim menu, yaan ununue muda wa maongezi thru ezypesa na utapata 8% ya thaman ya vocha yako ambayo cummulatively italipwa tar 10 ya kila mwezi

2. Mteja atasajiliwa katika mfumo wa biashara ya mtandao na kupata rrg number

3. Mteja atafanya peer influence na kila atakaye jisajili kwa reg number yako uyalipwa 10000 jumatano ya wiki itakayofuata.

4. Wateja wote watakaojisajili kwa number yako nao wakisajili wateja wao (level 2) utalipwa Tsh 4000 kwa kila mteja.
The business will continue level 3 hadi 5 kwa kulipwa Tshs 2000 and from level 6-11 unalipwa Tsh 1000

5. The total number in all levels yuo multiply by 0.5% then you are paid by 10th in each month.


Contact me for more information 0777808854 or go to www.rifaroafrica.com
Asante mkuu kwa maelezo yako..!
 
Mitandano mingine ukijiunga nayo inabidi uwe maeneo ya Dar es Salaam na Zanzibar basi, na hata Dar upatikanaji wa vocha tu ni majanga.
 
mm nipo moshi natumia zantel sinashida ya internet kwani mitandao mingine ikiwa ktk ntwork ya E hawezi kaz cha ajabu zantel una download vitu poa tu ba kifurushi cha week cha buku 2 kiko poa dk 45 sms 1000 mb za kutoshs

Bandle zao za mwezi na wiki zikoje?? Dakika ni mitandao yote au???
 
Mwenye uzoefu wa kutumia mtandao wa Zantel, naomba unijuze kuhusu upatikanaji wa mtandao, na upatikanaji wa vocha.

Nimechoka na wizi wa Vodacom na Tigo.





Hawa jamaa watakuwa wanatuchezea . Nilikua Airtel wakawa wanazingu. Nikahamia Zantel nako nikakuta mizinguo na bei zao za internet zipo juuu. Nikasepa na kujiunga na Voda unayoiponda , inapiga mzigo balaaa. Mpaka najilaumu siku zote hizo nilikuwa wapi ?!
 
Hawa jamaa watakuwa wanatuchezea . Nilikua Airtel wakawa wanazingu. Nikahamia Zantel nako nikakuta mizinguo na bei zao za internet zipo juuu. Nikasepa na kujiunga na Voda unayoiponda , inapiga mzigo balaaa. Mpaka najilaumu siku zote hizo nilikuwa wapi ?!

Unaongelea mtandao wa internet?...
 
zantel.jpg
mimi sina maneno mengi,ila naomba tu niwashukuru zantel kwa speed babkubwa ya internet.yaani kuna wakati mpaka nahisi dunia yote nimeifinyanga na kuiweka ktk laptop yangu.mko juu zantel.
 
Back
Top Bottom