kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Wakuu naomba mwenye uhitaji wa kutuliza ukali wa mb kua garama kubwa sajili zantel ya chuo utainjoi maisha.
3GB kwa TZS 2000 kwa wikiHongera kwa kupewa mb 500.
Watakuja wa voda na kudai wanapatiwa Gb 5 kwa gharama ya tsh 2000 mwezi mzima.
Ungeweka screenshot kama tulivyofanya sisi hapo juu ungeeleweka vizuriTunawakaribisha nyote kwa baba lao asie na mpinzani...TTCL..kitu 4G kwa je
jero yako unapewa mb 800
Upo wapi Mkuu?Wakuu naomba mwenye uhitaji wa kutuliza ukali wa mb kua garama kubwa sajili zantel ya chuo utainjoi maisha.