Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Wakuu kuna mtu kaniambia Zantel wana kifurushi cha TSH 20,000/-kwa mwezi unlimited. Lakini nimecheck kwenye web yao sijaona kitu kama hicho.Kwa kuwa najua kuna watumiaji wa Zantel wengi humu ndani,naombeni mnisaidie kujua kama kuna ukweli wowote ktk hilo.Na je,hiyo unlimited yao hawabani speed? Pia ninawezaje kununua bundles zao kwenye simu/modem?