Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Mandhari home uswazi nyakati za jioni tunaposubiria umeme urudi
Uvumbuzi wa vyombo hivi ulifanyika mwaka gani?Nafikiri tunaishi miaka 200 nyuma ya wenzetu wa nchi za ulimwengu wa kwanza kama wanavyojiita wao
Hiyo imenukumbusha nikiwa kijiji cha Matare Singida tulikua tunachakachua mafuta ya taa na dizeli ili mafuta yasiishe haraka ila mijimoshi na mwanga mwekundu ndio matokeo yake
Hapa umenikumbusha kwetu saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana ndugu yangu, kule kwetu ndio chakula cha asili jamani, thanx much