Zana muhimu kunako Mgao wa Umeme

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
23,268
17,097
Mandhari home uswazi nyakati za jioni tunaposubiria umeme urudi

konyagikinywajichakweli.jpg
 
Uvumbuzi wa vyombo hivi ulifanyika mwaka gani?Nafikiri tunaishi miaka 200 nyuma ya wenzetu wa nchi za ulimwengu wa kwanza kama wanavyojiita wao
 
mkuu bila hiyo makitu, mbona mbu na mijasho itakufanya usilale kabisa.......wewe unatumbukiza nyagi kwa mwili, ukiingia kitandani unashtuka asubuhi!
 
hongera kwa kuvumbua...............lakini kuingizw kwenye guiness book usahau
 
Hiyo imenukumbusha nikiwa kijiji cha Matare Singida tulikua tunachakachua mafuta ya taa na dizeli ili mafuta yasiishe haraka ila mijimoshi na mwanga mwekundu ndio matokeo yake
 
kwa hyo chupa hapo pembeni wala uhitaji mwanga mkali sana bwana jane ni jane!
\
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom