Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,498
- 9,279
Watu wapatao 21 wamepoteza maisha na wengine 22 kujeruhiwa kutokana na ajali za barabara nchini Zambia katika kipindi cha Krismasi mwaka huu.
Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa msemaji wa naibu wa polisi nchini humo Rae Hamoonga aliyoitoa hapo jana mbele ya wanahabari.
Kwa mujibu wa Rae, idadi ya watu waliofariki na kujeruhiwa imeongezeka kutoka 13 hadi 22 kuzidi idadi ya mwaka uliopita wa 2018. Idadi ya ajali za barabarani wakati huu wa Krismasi pia imeongezeka kutoka 125 mnamo mwaka 2018 hadi 139 kwa mwaka huu.
======
LUSAKA, Dec. 27 (Xinhua) -- At least 21 people were killed in road accidents in Zambia during this year's Christmas period, the police said on Friday.
Zambia Police Deputy Spokesperson Rae Hamoonga said the toll was a major jump from last year's 13, and the number of injured also rose, from 22 of the previous year to 31 this time around.
The number of road accidents this Christmas, at 139, also surged, from 125 recorded last year, the spokesperson said.
Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa msemaji wa naibu wa polisi nchini humo Rae Hamoonga aliyoitoa hapo jana mbele ya wanahabari.
Kwa mujibu wa Rae, idadi ya watu waliofariki na kujeruhiwa imeongezeka kutoka 13 hadi 22 kuzidi idadi ya mwaka uliopita wa 2018. Idadi ya ajali za barabarani wakati huu wa Krismasi pia imeongezeka kutoka 125 mnamo mwaka 2018 hadi 139 kwa mwaka huu.
======
LUSAKA, Dec. 27 (Xinhua) -- At least 21 people were killed in road accidents in Zambia during this year's Christmas period, the police said on Friday.
Zambia Police Deputy Spokesperson Rae Hamoonga said the toll was a major jump from last year's 13, and the number of injured also rose, from 22 of the previous year to 31 this time around.
The number of road accidents this Christmas, at 139, also surged, from 125 recorded last year, the spokesperson said.