MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,520
- 1,368
Hata mimi nawapongeza sana Chipolopolo! One Zambia One Nation!
miaka 10 kipa huyohuyo na hajapatikana mrithi wa Kaseja?
Hiyo nayo shida. Serikali imewekeza ikamleta na kocha lakini uongozi wa mpira. Kuna watu hapa tz wanaitwa watu wa mpira, hta rais wa TFF analijua hilo. Usipowajua hao hupati uongozi kwenye soka. Hadi hao watu wa mpira watakapodhibitiwa ndio tutaona matunda. Sunday Kayuni naye ni hao hao watu wa mpira. Wachezaji wanachaguliwa kwa kuwa wana uhusiano na nani ama wwmehonga kiasi gani. RUSHWA KILA MAHALAWachezaji wa lizee limoja linaitwa Sunday Kayuni hao,wachezaji hawana nidhamu wala uzalendo unawang'ang'ania wawemo kwenye team ya taifa
Zambia wameweza, sisi tunasubiri nini?
Tukiendelea na CCM tutabaki kua wasindikizaji katika soka. Hongera SATTA hayo ni mafanikio ktk mwaka wako wa kwanza wa uongozi
Neema huja wakati mkiwa na viongozi wasafi, wenye kutumikia watu wao siyo viongozi wasiopenda kuwatumikia wananchi!!
Tatizo letu watanzania ni kulifanya kila jambo kuwa la kisiasa.... hatuwezi hata kuipongeza serikali na Rais KIKWETE angalau kwa kutuletea kocha ambaye kiukweli alijitahidi kuiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia kisoka? je hatujui kuwa ni serikali ya CCM ndiyo iliyotujengea uwanja wa kisasa chini ya mzee MKAPA? hata haya nayo mnasema CHADEMA ndiyo itakayofanya vizuri?