Makamee JF-Expert Member Nov 29, 2013 2,029 1,191 Dec 10, 2013 #1 Ktk Michuano ya Chalenge cup Sudan ya kusini wameitoa Zambia kwa kuichapa goli 2-1 Mpira umeisha. Coming next Kenya vs Tanganyika
Ktk Michuano ya Chalenge cup Sudan ya kusini wameitoa Zambia kwa kuichapa goli 2-1 Mpira umeisha. Coming next Kenya vs Tanganyika
O Oyono JF-Expert Member Sep 9, 2013 222 35 Dec 10, 2013 #2 Makamee said: Ktk Michuano ya Chalenge cup Sudan ya kusini wameitoa Zambia kwa kuichapa goli 2-1 Mpira umeisha. Coming next Kenya vs Tanganyika Click to expand... Fatilia utujuze mkuu make wengine tupo maeneo mabovu sana!!
Makamee said: Ktk Michuano ya Chalenge cup Sudan ya kusini wameitoa Zambia kwa kuichapa goli 2-1 Mpira umeisha. Coming next Kenya vs Tanganyika Click to expand... Fatilia utujuze mkuu make wengine tupo maeneo mabovu sana!!
Makamee JF-Expert Member Nov 29, 2013 2,029 1,191 Dec 10, 2013 Thread starter #3 Dakika ya 10 ya mchezo Kenya 1 Tanganyika 0
L Lyandembela1 JF-Expert Member May 10, 2013 277 112 Dec 10, 2013 #4 HAO Kilimanjaro wanarukaruka tuu, hii timu ifutwe na tukae miaka mitano bila kushiriki mashindano yoyote. Huku tukiwa tunajiaandaa
HAO Kilimanjaro wanarukaruka tuu, hii timu ifutwe na tukae miaka mitano bila kushiriki mashindano yoyote. Huku tukiwa tunajiaandaa
Makamee JF-Expert Member Nov 29, 2013 2,029 1,191 Dec 10, 2013 Thread starter #5 Mchezo ni mapumziko bado Tanganyika wako nyuma kwa goli 1
Makamee JF-Expert Member Nov 29, 2013 2,029 1,191 Dec 10, 2013 Thread starter #6 MPIRA UMEKWISHAAA! Dk 90+3 fultime Kenya 1 Tanganyika 0 Fainali itapigwa ni kati ya Kenya vs Sudan.