Huu ni uoni mzuri akijaribu hilo kwani ubepari haujatoa suluhisho kwa jamii. Labda ajaribu tu ingawa kazi ataipata, kwani sijui atawezaje kutoa hukumu wakati ukristo haujatoa hukumu, Lakini jeuri hii anaipata kwa kuwa idadi kubwa ya wazambia ni wakristo sasa kuna haja ya wazanzibar nao waamke ili tuone uislamu kama dini na kama mfumo wa maisha ambao ni mbadala wa ubepari nani ana uthubutu wa kuongoza nchi kwa mfumo wa kiislam? tatizo ni Muungano? Au Haiwezekana au wangozwa hawajatayarishwa....................... mjadala