Zambia: China kuchukua Uwanja wa ndege wa Kaunda kufidia deni, ishachukua shirika la umeme

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,483
54,853
Habari kutoka Zambia zinaeleza kuwa, China inakusudia kuchukua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda jijini Lusaka kutokana na nchi hiyo kushindwa kulipa madeni. Tayari China imechukua Shirika la Umeme Zambia (ZESCO) na Shirika la Habari Zambia (ZNBC).

=====

The respected Africa Confidential has revealed that talks are underway for a Chinese company to takeover power utility ZESCO.

And Africa Confidential has warned that Zambia risks losing its sovereignty to China as that country will seize national assets once government defaults on loans.

In a report titled ‘Bonds, bills and ever bigger debts’ published on September 3, Africa Confidential observed that ZNBC was already being run by the Chinese and disclosed that Zesco was also already in talks about a takeover by a Chinese company.

“A major worry of the IMF and US is that China’s BRI strategy is first to encourage indebtedness, and then to take over strategic national assets when debtors default on repayments. The state electricity company Zesco is already in talks about a takeover by a Chinese company, AC has learned. The state-owned TV and radio news channel ZNBC is already Chinese-owned. The long-term outcome could be effective Chinese ownership of the commanding heights of the economy and potentially the biggest loss of national sovereignty since independence,” the report read.

Africa Confidential noted that Zambians would be alarmed to learn the real Chinese debt figures.

“Zambia is a good example of what the International Monetary Fund and the United States Senate are calling a crisis of accelerating developing-country indebtedness to China.

Signing a contract with China is like, ascribing to the boiling frog effect; a fable describing a frog being boiled alive slowly. If you drop a frog suddenly into boiling water, it will jump out, but if you put that same frog in a vessel of water and start heating the water gradually, it will adjust its body temperature accordingly until it reaches a stage beyond its capacity and dies foolishly.

It’s rather pathetic how China is re-colonizing Africa by appealing to the ignorance and selfish interests of our leaders. Today, the Chinese are offering mouthwatering deals to Africa, both in cash transactions and the outmoded or rather defunct barter trade which seem very attractive on the outlook but dangerous in reality.

The Zambian government contracted the Chinese, lazy-thought and glossed over details thinking they were granting consent to gernuine terms but the whole thing just morphed into modern day colonialism. China is now proposing to take over the Kenneth Kaunda International Airport should Zambia Government fail to pay back its huge foreign debt on time. The issue of whether Zambia posses the required economic muscle to repay that debt is in contention considering the amount involved. It’s typical of the Chinese strategy.

That moreover is not the only thing Zambian suffered from China; the Chinese own 60% shares of the Zambian National Broadcasting corporation which means, Chinese have an influence over what should or should not be premiered on their sets.

Ghana is equally towing same lane as our leaders have started signing contracts already; Chinese owned company, STARTIME is gradually gaining grounds over our major institutions, our biggest mining companies will soon be “taken” over by a Chinese company and many others. Now if this is not modern day slavery, what then is it? The 21st century African slave is never in chain; we are in debt caused by the ignorance or selfish interests of our leaders. Pathetic!

China To Take Over Zambian International Airport For Debt Repayment Default - Inside Business Online
 
very pathetic these leaders, how could they take a risk to that extend up to the peak Without making analysis On the population and required investment,sometimes you could be in low populated country but When You try to survey her country economy and investment doesnt correspond, country like that people not afford to pay tax according to your master or foreigner because You wrote an agreements On how to handle that........!

Africa countries has to be very care On this external nations because they got third Eye, they dont Even sleep for second, they thick of Africa, their wealth, china did this, why ours, israel came to us, India came to us why not them to them or other third countries like portugal among other

I look forward to see how zambia are going to have a long term reign of terror
 
This is very serious and bad news for the country! It serves also as a wake up call to all African countries aspiring to solicit loans on concesionary terms from China ! Nothing comes for free, we must not be deceived by seemingly "friendly" China ! NOOOO!

For our country Tanzania foristance the Bagamoyo port project should be put under serious scrutiny as the financing of the project is by China and Oman. China has seized major infrastructures in some Asian countries accruing to such bad contracts leading to debt pileup and to the detriment of their people.

AFRICA WATCH OUT CHINA !!!!
 
Hii hatari. Tulisoma ktk historia 1884 wazungu walikaa Berlin wakaigawana Africa, sasa tunakoelekea vitukuu vyetu vitasoma miaka ya 2000 viongozi wa Africa walijipeleka wenyewe kwa mchina na kumkabidhi nchi zao.
Wachina wanataka kusitisha policy ya mtoto mmoja kwa familia na wako busy kutafuta makoloni ya ku-dump watu wao. Viongozi wetu badala ya kucheka cheka wayaangalie haya mambo kwa umakini mkubwa.
 
Tuna changamoto kubwa kwa kweli.
Political power-Political institutions kwa Africa bado tunachangamoto.

Watu wetu wanafanya lolote ambalo linalowasaidia kubaki madarakani,Wapo madaraka sio kuleta maendeleo kwa watu bali ulaji.

Mikataba wanaingia na kutia saini kwa mlengo wao(political power)huku wakiwa waamuzi wa mwisho na sio kuwaachia wataalamu uhuru wa kufanya yaliyo sahihi kwa manufaa ya raia na vizazi vijavyo.
 
Safi sana dawa yao wadaiwa wooote africa wakichemsha piga hela vitu zao ili tujifunze kujitegemea shuubaamit
 
Donald Trump alisema "China is a cancer of the world"


China yupo kote kote anasumbua mataifa makubwa na matajiri kwa biashara isiyo fair.
Huku Africa hana upinzani wowote. Tukiendelea kujifanya kwamba china ndio rafiki wa kweli kwasababu kwenye mikopo na misaada yake hana masharti ipo siku atamega kipande Fulani cha Africa.

China ni wa kumkataa kwa namna zote kwasababu yeye hana kitu kinachoitwa haki za kibinadamu,utawala bora,Democracia kwenye kutoa pesa zake yeye hutazama interest zake yaani hana ubinadamu kabisa tofaut na mataifa ya mangaribi.
 
Sijui kama sisi tunajifunza kwa kilichotokea kwa wenzetu

Ova
 
Mchina kwa kuwa yeye sera zake haziingilii siasa za nchi basi ndio maana anataka kuikomoa africa kwa kuchukua vitu muhimu pale tunaposhindwa kulipa
 
Hii ndo ile kusema nchi imeuzwa tulikuwa nao sana huu msemo zamani
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom