Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,139
- 6,047
Afrika itaendelea kuchunwa tu na nchi Matajiri duniani kutokana na kuwa na viongozi wapumbavu na wezi wasiojali matakwa ya wananchi wao bali maslahi yao tu. This should be an example to all fake African leaders, it's really pathetic and a shame kutokea.