Nikifufukammekwisha
JF-Expert Member
- Aug 17, 2007
- 260
- 6
Je Tanzania ikimtaka mtaalamu wa kitanzania aliyebobea kwenye aerospace engineering arudi Tanzania, je mtaweza kumpatia lab ya kufanya mavitu yake? Ni lini Tanzania inategemea kutuma astronauts mwezini?
Hata nchi kubwa kama USA ikitoa tamko la kidizaini hii, nchi hiyo haitaweza kuwa-contain wasomi wote na kuwapatia ajira, maana kuna wengine wamesomea vitu ambavyo ni vigumu kupata kazi ya kuajiriwa na serikali.
Wanasiasa wetu ni bora wakaachana na propaganda zisizo na msingi. Globalization is the way of life!!! Badala ya kupoteza mda kujadili masuala yasiyo na majibu ni bora wakatilia mkazo masuala yaliyo solvable, like KIWIRA, listi ya wafanyabiashara wa madawa ya kulevya, BOT, barabara mbovu, mahospitali yasiyo na vyandarua wala madawa etc
Hata nchi kubwa kama USA ikitoa tamko la kidizaini hii, nchi hiyo haitaweza kuwa-contain wasomi wote na kuwapatia ajira, maana kuna wengine wamesomea vitu ambavyo ni vigumu kupata kazi ya kuajiriwa na serikali.
Wanasiasa wetu ni bora wakaachana na propaganda zisizo na msingi. Globalization is the way of life!!! Badala ya kupoteza mda kujadili masuala yasiyo na majibu ni bora wakatilia mkazo masuala yaliyo solvable, like KIWIRA, listi ya wafanyabiashara wa madawa ya kulevya, BOT, barabara mbovu, mahospitali yasiyo na vyandarua wala madawa etc