Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,316
Mama watatu na mtangazaji mashuhuri wa kipindi vya mahojiano Zamaradi Mketema amesema hana mpango wa kuajiriwa kwa sasa.
Akielezea uhusiano uliopo kati yake na WASAFI amesema yeye na WASAFI ni partners kwani yeye ni content provider wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
stressed woman