Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Kwa vile kilaza Jakaya Kikwete ameweza kupata urais.....hata vichaa sasa wanajiona wanaweza kuingia kwenye siasa. 'Profesa' Majimarefu, Shigogo....
hapo kwenye blue ndipo nilipochoka kabisa
Kwa vile kilaza Jakaya Kikwete ameweza kupata urais.....hata vichaa sasa wanajiona wanaweza kuingia kwenye siasa. 'Profesa' Majimarefu, Shigogo....
Fancy Nkuhi (right) baada ya kushinda kura za maoni!
Hii ni dalili mbaya ya anguko la siasa ndani ya Tanzania. Ikitokea hata mwenda wazimu akaamka asubuhi na kutoa tamko la kugombea udiwani maana yake ni kwamba kesha ona siasi iliyopo ni ya kiwenda wazimu.
Si pendi kukosoa maamuzi yake kwani aliona hilo ni jambo lenye kuwezekana.
Na mimi pia nitajaribu next time.
Nimependa Nyo Nyo zake! LOl
Du hiyo Tshirt ya Mbuge mtarajiwa kaaz kweli kweli
Dah zinaonekanaje? mi naona kama zimelala vile!
eti aligombea lakini hakutaka kushinda, haka ka bonehead ndio kanawekwa kwenye radio Watanzania tukasikilize? Isije kuwa ndio wale Sugu anaowaongelea yatima wanaosaidiwa na kurepiwa repiwa pale clouds fm
Umenena mkuu na wachafuzi wamesikiaHaya sasa wale wakora wa CCM, najua mate yanawatoka, mnatamani aingie au mmuingize kwenye sistimu yenu mumpatie hayo mapirapira yenu na kumpa vileee virusi vyenuuu, na mdogo wangu Zamradi kule sisiem kuna mafisadi wa ngono ukiwa maharage ya mbeya umeumia mdogo wangu, luk vere. Lakini BIG UP kwa kujaribu.
...hongamshi mosie....!duh kaaazi kwey kwey
Nimependa Nyo Nyo zake! LOl
katoto karembo hako kama kana Brain nzuri kwa uongozi saafi sana lakini kama ndo makapi yale yale kazi ipo