waombee ccm zaidi maana wao ndiyo wanaishi na shetani zizi mojaChadema nawaombea wakati wote!
Komando hakamatwi kizembezembe kama vile unakamata jogooULOFA WA WANACCM UNATOKA WAPI HAPO KWENYE SUALA LA KUWAKAMATA MAKOMANDOO?
Mengine si sana kusemwa hapa ila itoshe tu kusema wale katika kikosi kile ni Paratroopers yaani askari wa miavuli na si kwa uaskari huo mnaodhani wengi miili yao imejengeka kwa mazoezi na ndio wale wanaoonekana kipindi cha nyuma kwenye sherehe wakivunja matofari,kubeba mabegi mazito mgongoni nakadhalika.Kifuani kushoto utakuta wana full bawa la chuma au nusu bawa alie na bawa zima kamaliza kozi zote na alie na nusu hajamaliza kozi.Kwa nchi zetu za kiafrika komandoo(special forces)wanafichwa sana na kozi zao ni za kificho sana na hawaonekani kirahisi,Askari wa miavuli kivita wanaweza kujikuta wameaangukia behind enermy lines wakiwa kwenye harakati za kwenda kuteka miundombinu muhimu ya adui wakajikuta uso kwa uso na adui wakaanza kuzichapa kwanza kwa kwa mikono japo hii ilikuwa sana kwa mafunzo ya kizamani siku hizi tech imeongezeka sana.
Komandoo anakunywa Mo energy ya kihindi?
Ukileta mambo ya CINEMA kwenye maisha halisi unaweza ukapotea🤣🤣Hata Swazneger alikuwa anazingirwa lakini hakamatiki au ile ni mambo ya senema tu bwashee?!!
Hii kamba sitokujaga kuisahau ... Alipigwa konde mpaka Nguzo ya ulingo ikapinda daaahpia tuliambiwa Muhammed Alli alipigana na Spinks kwa makubaliano kwamba mkono mmoja Alli afungwe nyuma mgongoni, Ali akawa anapokea kichapo cha kufa mtu, kocha wa Alli akasema LEEEEEFFTT…. Alli akakata kamba akarusha malefti, Spinks chali!
Jeshi letu linazidi Jeshi la MarekaniTuliambiwa kwamba ili umkamate/ umteke komandoo mmoja wa Jeshi patahitajikawanajeshi zaidi ya 100 waliopata mafunzo stahiki
Sijajua hawa makomandoo wa Mbowe walikamatajwe au zile za zamani zilikuwa ni story tu na kwamba komandoo anakamatika kikawaida tu?!!
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Hahahaaaa....... Komando kipensi unamjua?Kuna mambo yanafurahisha sana...
😆 😆 😆Tuliambiwa kwamba ili umkamate/ umteke komandoo mmoja wa Jeshi patahitajikawanajeshi zaidi ya 100 waliopata mafunzo stahiki
Sijajua hawa makomandoo wa Mbowe walikamatajwe au zile za zamani zilikuwa ni story tu na kwamba komandoo anakamatika kikawaida tu?!!
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Mgambo aliyewasumbua makomando.Osama alikuwa komandoo!
Mbowe ana makomandoo siku hizi? amewapata wapi?Tuliambiwa kwamba ili umkamate/ umteke komandoo mmoja wa Jeshi patahitajikawanajeshi zaidi ya 100 waliopata mafunzo stahiki
Sijajua hawa makomandoo wa Mbowe walikamatajwe au zile za zamani zilikuwa ni story tu na kwamba komandoo anakamatika kikawaida tu?!!
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Si anamafunzo ya kutumia fursa kwenye kila sekunde ya ku escapeKwani hao makomandoo sio binadamu, akiambiwa chini ya ulinzi na askari wenye silaha za moto si anatulia kama maji ya mtungi, au unafikiri wao risasi zinawakwepa?
Si anamafunzo ya kutumia fursa kwenye kila sekunde ya ku escape
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Pc katika ubora wako. Siku uje ukutane na huo mziiki ground, ndio utajua picha halisi ya hiyo mijiitu.Komando ni jina tu jamani musiaminishwe vibaya hao ni watu wa kawaida tu ndio maana polisi waliwadaka kama watoto wadogo.Msitishike na mbwembwe zao zakuvunja tofali pale Lupaso.Hao ni mamas tu.