samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,174
Sio tu ndugu ila kwenye maisha hasa ya watu weusi aka WaAfrica jaribu sana kuwaweka watu mbali na wewe...uwe na urafiki wa kawaida tu na watu, haya mambo yakujifanya sijui rafiki yangu wa karibu na kujuana kiundani ni hatari, ndugu zako ni watoto zako na mkeo ( if she is good for you) wengine wote waweke mbali kidogo...