Matutinum Antifone
Member
- Sep 16, 2020
- 16
- 20
Tuume na kupulizia, hakuna ajuaye kesho yake ndio maana tunaishi kwa kujihami. Tunaweka akiba ya fedha na kumheshimu kila mtu kwasababu hatujui nani atakuwa nani kesho na wewe utakuwa nani kesho.huwajui tu ndugu
Binafsi huwa napenda sana "opposite" ya aya hii kutoka kwenye msahafu isemayo, "usilotaka kutendewa usimtendee mtu mwingine". Sijui imenifahamu mantiki ya usemi huo.