Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,480
- 35,375
Habari!
Siku moja nilikuwa na mzee mmoja mstaafu JWTZ aliniambia kuwa Ikulu hupokea taarifa na majina ya wahitimu wa elimu ya chuo kikuu wale wa degree ya awali nakuendelea. Pia hupokea majina ya baadhi ya wahitimu wa elimu ya stashahada na advanced diploma kila mwaka.
Rais kwa kutumia team yake huwafanyia vetting kwa ajili ya teuzi. Lakini sasa inaonyesha ni dhahiri Ikulu inapokea majina ya makada wa CCM tu ili kuyaweka kwenye kanzi data kwaajili ya teuzi mbalimbali.
Makazini humu kuna watumishi wana digrii moja mpaka 3 wengi tu, wamekaa kwenye utumishi wa umma miaka zaidi ya 20, teuzi zikitoka kila nikichungulia siwaoni.
Kwa mtindo huu tutafika kweli kwenye uchumi halisi wa kati
Siku moja nilikuwa na mzee mmoja mstaafu JWTZ aliniambia kuwa Ikulu hupokea taarifa na majina ya wahitimu wa elimu ya chuo kikuu wale wa degree ya awali nakuendelea. Pia hupokea majina ya baadhi ya wahitimu wa elimu ya stashahada na advanced diploma kila mwaka.
Rais kwa kutumia team yake huwafanyia vetting kwa ajili ya teuzi. Lakini sasa inaonyesha ni dhahiri Ikulu inapokea majina ya makada wa CCM tu ili kuyaweka kwenye kanzi data kwaajili ya teuzi mbalimbali.
Makazini humu kuna watumishi wana digrii moja mpaka 3 wengi tu, wamekaa kwenye utumishi wa umma miaka zaidi ya 20, teuzi zikitoka kila nikichungulia siwaoni.
Kwa mtindo huu tutafika kweli kwenye uchumi halisi wa kati