Zamani Ikulu ilipelekewa orodha ya graduate wote, siku hizi inapelekewa orodha ya Viongozi wa CCM ngazi ya kata hadi Taifa

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,477
35,352
Habari!

Siku moja nilikuwa na mzee mmoja mstaafu JWTZ aliniambia kuwa Ikulu hupokea taarifa na majina ya wahitimu wa elimu ya chuo kikuu wale wa degree ya awali nakuendelea. Pia hupokea majina ya baadhi ya wahitimu wa elimu ya stashahada na advanced diploma kila mwaka.

Rais kwa kutumia team yake huwafanyia vetting kwa ajili ya teuzi. Lakini sasa inaonyesha ni dhahiri Ikulu inapokea majina ya makada wa CCM tu ili kuyaweka kwenye kanzi data kwaajili ya teuzi mbalimbali.

Makazini humu kuna watumishi wana digrii moja mpaka 3 wengi tu, wamekaa kwenye utumishi wa umma miaka zaidi ya 20, teuzi zikitoka kila nikichungulia siwaoni.

Kwa mtindo huu tutafika kweli kwenye uchumi halisi wa kati
 
Me saiz nawaza kuchukua kadi ya ili niungane nao huko huko, if u can't fight them join them.
 
Umenitekenya! Kuna mwanamke (darasa la saba, hata kuandika ni shida) alipewa nafasi ya mwenyekiti wa wanawake ngazi ya wilaya . Kumbuka wasomi wanawake ni wengi katika hivyo wilaya, tutafika??.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom