johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,532
- 141,335
Huwa sielewi ni kwanini mashahidi wa mashtaka huwa wanapata wakati mgumu wanapohojiwa na mawakili wa utetezi na hasa ikizingatiwa kuwa mashahidi wa Jamhuri huandaliwa na DPP tena mashahidi wengine ni wanasheria kitaaluma ( wana LLB )!!
cc: Pascal Mayalla
cc: Pascal Mayalla