Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
inategemea ikiwa taifa lina uso unaoona aibuaibu kubwa kwa taifa
inategemea ikiwa taifa lina uso unaoona aibuaibu kubwa kwa taifa
Ni kwa sababu hawakuandaliwa mapema, kwa kukumbushwa ni nini walichokisema awali na wanatakiwa waeleze itu gani, kwa kiwango gani na majibu yaweje wanapohojiwa na mawakili na wanasheria wabobezi wa kesi mahakamani.Huwa sielewi ni kwanini mashahidi wa mashtaka huwa wanapata wakati mgumu wanapohojiwa na mawakili wa utetezi na hasa ikizingatiwa kuwa mashahidi wa Jamhuri huandaliwa na DPP tena mashahidi wengine ni wanasheria kitaaluma ( wana LLB )!!
cc: Pascal Mayalla