Zamani Dala ilimaanisha shiringi tani, Paundi je?

Mvaa Tai

JF-Expert Member
Aug 11, 2009
6,159
4,443
1. Nakumbuka zamani Shilingi tano ilikuwa inaitwa Dala kwasababu ilikuwa sawa na dola moja ya Kimalekani,



2. Kwasasa Airtime kiasi cha Shiringi elfu moja kinaitwa dola moja.


3. Nakumbuka pia kuna kipindi shiringi ishirini ya Tanzania ilikuwa inaitwa Paundi.
Paundi ilimaanisha nini?
 
Nilivyosoma heading 'shiringi tani' nikashangaa ndio kitu gani! Kumbe shilingi tano!?
Hata hivyo tread nyingine ni kama wadhamini wetu ktk matangazo ya mechi ya simba na yanga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom