Zamani CCM walisema Zidumu fikra " sahihi" za mwenyekiti Sasa Chadema wanasema ' Zidumu fikra za mwenyekiti'

Sawa

Ila ukisema hivyo unakuwa hauna hoja, mpaka leo chedema ndio chama ambacho kimepata nafasi ya pili kwenye urais na ubunge na ikiwa na dj

So lete hoja za msingi sio mipasho
Mgombea urais alikuwa Lowassa wa CCM na mgombea mwenza Hajji Duni Cuf.....usisahau hilo bwashee!
 
Najaribu kukumbuka tu kiapo changu cha uanachama na salamu zetu ndani ya chama wakati ule wa awamu ya kwanza.

Kwanza tuliitana " ndugu" pili tuliamini katika uhai wa chama ndio tulisema " kidumu chama cha mapinduzi" na tatu tuliamini katika uwezo wa mwenyekiti wetu na tulifahamu kuwa yeye ni binadamu ndio tukawa tunasema " zidumu fikra SAHIHI" za mwenyekiti wa CCM.

Nimemsikia mbunge mmoja wa Chadema aliyeko karantini akisema " zidumu fikra za mwenyekiti "......sasa sijajua kama alitaka kuiga ile ya CCM na kukosea au hii ndio salamu yao!

Maendeleo hayana vyama.


Wafuasi wa Chadema ni sawa na wanachama wa Yanga, hawana tofauti kabisa....wao kila siku ni kulalamika tu japo hawana hoja za msingi.
 
Najaribu kukumbuka tu kiapo changu cha uanachama na salamu zetu ndani ya chama wakati ule wa awamu ya kwanza.

Kwanza tuliitana " ndugu" pili tuliamini katika uhai wa chama ndio tulisema " kidumu chama cha mapinduzi" na tatu tuliamini katika uwezo wa mwenyekiti wetu na tulifahamu kuwa yeye ni binadamu ndio tukawa tunasema " zidumu fikra SAHIHI" za mwenyekiti wa CCM.

Nimemsikia mbunge mmoja wa Chadema aliyeko karantini akisema " zidumu fikra za mwenyekiti "......sasa sijajua kama alitaka kuiga ile ya CCM na kukosea au hii ndio salamu yao!

Maendeleo hayana vyama.
Chadema ndio dume la mbegu ndio maana maccm mnahenya kwelikweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom