johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
- Thread starter
- #21
Mgombea urais alikuwa Lowassa wa CCM na mgombea mwenza Hajji Duni Cuf.....usisahau hilo bwashee!Sawa
Ila ukisema hivyo unakuwa hauna hoja, mpaka leo chedema ndio chama ambacho kimepata nafasi ya pili kwenye urais na ubunge na ikiwa na dj
So lete hoja za msingi sio mipasho