Zamani CCM walisema Zidumu fikra " sahihi" za mwenyekiti Sasa Chadema wanasema ' Zidumu fikra za mwenyekiti'

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,779
141,667
Najaribu kukumbuka tu kiapo changu cha uanachama na salamu zetu ndani ya chama wakati ule wa awamu ya kwanza.

Kwanza tuliitana " ndugu" pili tuliamini katika uhai wa chama ndio tulisema " kidumu chama cha mapinduzi" na tatu tuliamini katika uwezo wa mwenyekiti wetu na tulifahamu kuwa yeye ni binadamu ndio tukawa tunasema " zidumu fikra SAHIHI" za mwenyekiti wa CCM.

Nimemsikia mbunge mmoja wa Chadema aliyeko karantini akisema " zidumu fikra za mwenyekiti "......sasa sijajua kama alitaka kuiga ile ya CCM na kukosea au hii ndio salamu yao!

Maendeleo hayana vyama.
 
Najaribu kukumbuka tu kiapo changu cha uanachama na salamu zetu ndani ya chama wakati ule wa awamu ya kwanza.

Kwanza tuliitana " ndugu" pili tuliamini katika uhai wa chama ndio tulisema " kidumu chama cha mapinduzi" na tatu tuliamini katika uwezo wa mwenyekiti wetu na tulifahamu kuwa yeye ni binadamu ndio tukawa tunasema " zidumu fikra SAHIHI" za mwenyekiti wa CCM.

Nimemsikia mbunge mmoja wa Chadema aliyeko karantini akisema " zidumu fikra za mwenyekiti "......sasa sijajua kama alitaka kuiga ile ya CCM na kukosea au hii ndio salamu yao!

Maendeleo hayana vyama.

Eeeh na wenyeviti wote walikuwa bora na sio dhambi kuheshimu maamuzi ya mwenyekiti wako hata kama ni mabaya
 
Chadema hawataki kuamini kuwa mwenyekiti wao ndio anayekihujumu chama chao.

1. Uchaguzi wa mgombea Urais 2015.

2. Kuwaondoa wabunge bungeni kabla ya uchaguzi mkuu 2020.

Hizo ni hujumaza wazi toka kwa Bwn. Mwenyekiti.
 
Chadema hawataki kuamini kuwa mwenyekiti wao ndio anayekihujumu chama chao.

1. Uchaguzi wa mgombea Urais 2015.

2. Kuwaondoa wabunge bungeni kabla ya uchaguzi mkuu 2020.

Hizo ni hujumaza wazi toka kwa Bwn. Mwenyekiti.

Sawa kabisa, but yy ndio Walimchagua au unataka kusema ww una akili nyingi kuliko wajumbe wote wa chadema?

No wonder maamuzi ya mwenyekiti wako angeyafanya Mbowe usinge kubaliana nae but kwa vile amefanya wako unaona ni sawa
 
Najaribu kukumbuka tu kiapo changu cha uanachama na salamu zetu ndani ya chama wakati ule wa awamu ya kwanza.

Kwanza tuliitana " ndugu" pili tuliamini katika uhai wa chama ndio tulisema " kidumu chama cha mapinduzi" na tatu tuliamini katika uwezo wa mwenyekiti wetu na tulifahamu kuwa yeye ni binadamu ndio tukawa tunasema " zidumu fikra SAHIHI" za mwenyekiti wa CCM.

Nimemsikia mbunge mmoja wa Chadema aliyeko karantini akisema " zidumu fikra za mwenyekiti "......sasa sijajua kama alitaka kuiga ile ya CCM na kukosea au hii ndio salamu yao!

Maendeleo hayana vyama.
Mbowe mmnamuonea bure huenda wazo zaa kuji qurantee alipewa na wabunge wake, yeye akaaafiki wakakubaliana wote, alafu wachache ambao hawakupinga ndo wamerudi mjengoni
 
Najaribu kukumbuka tu kiapo changu cha uanachama na salamu zetu ndani ya chama wakati ule wa awamu ya kwanza.

Kwanza tuliitana " ndugu" pili tuliamini katika uhai wa chama ndio tulisema " kidumu chama cha mapinduzi" na tatu tuliamini katika uwezo wa mwenyekiti wetu na tulifahamu kuwa yeye ni binadamu ndio tukawa tunasema " zidumu fikra SAHIHI" za mwenyekiti wa CCM.

Nimemsikia mbunge mmoja wa Chadema aliyeko karantini akisema " zidumu fikra za mwenyekiti "......sasa sijajua kama alitaka kuiga ile ya CCM na kukosea au hii ndio salamu yao!

Maendeleo hayana vyama.
Rafiki yenu selasini yu wapi?
 
Sawa kabisa, but yy ndio Walimchagua au unataka kusema ww una akili nyingi kuliko wajumbe wote wa chadema?

No wonder maamuzi ya mwenyekiti wako angeyafanya Mbowe usinge kubaliana nae but kwa vile amefanya wako unaona ni sawa
Wajumbe wa chadema hawana akili wangekuwa na akili wasingemruhusu dj akisambaratishe chama
 
Wajumbe wa chadema hawana akili wangekuwa na akili wasingemruhusu dj akisambaratishe chama

Sawa

Ila ukisema hivyo unakuwa hauna hoja, mpaka leo chedema ndio chama ambacho kimepata nafasi ya pili kwenye urais na ubunge na ikiwa na dj

So lete hoja za msingi sio mipasho
 
Back
Top Bottom