MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
1.Mikopo ya wanafunzi--Kukomoana
2.Kupandisha madaraja ya ufaulu ghafla--Kukomoana.
3.Wenye degree lazina form 6-- kukomoana.
4.Kunyang'anya watu mashamba yao--kukomoana.
5.Kuwekwa polisi kwa kuhoji Jambo tu--Kukomoana.
6.Kuzuia miradi inayoanzishwa na wapinzani---kukomoana.
7.Kumfukuza mtu kazi bila kumsikiliza au bila kufuata sheria--Kukomoana.
Yaani ni kukomoana tu Mwanzo mwisho.
Basi itoshe kwa kusema Mungu hapendi kabisa haya mambo, Leo kwa mwenzio kesho kwako.HAYA YOTE YANA MWISHO.
2.Kupandisha madaraja ya ufaulu ghafla--Kukomoana.
3.Wenye degree lazina form 6-- kukomoana.
4.Kunyang'anya watu mashamba yao--kukomoana.
5.Kuwekwa polisi kwa kuhoji Jambo tu--Kukomoana.
6.Kuzuia miradi inayoanzishwa na wapinzani---kukomoana.
7.Kumfukuza mtu kazi bila kumsikiliza au bila kufuata sheria--Kukomoana.
Yaani ni kukomoana tu Mwanzo mwisho.
Basi itoshe kwa kusema Mungu hapendi kabisa haya mambo, Leo kwa mwenzio kesho kwako.HAYA YOTE YANA MWISHO.