Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Awamu ya Pili ya Tatu na ya nne ilikuwa ukichaguliwa kuwa Waziri au Mkurugenzi wa Taasisi au Halmashauri basi ulikuwa (UMEUCHINJA).
Awamu hii ya tano chini ya Amiri Jeshi Mkuu Dr John Magufuli Uteuzi wowote jua Kwamba kipambaumbele chako ni kwenda kuwatumikia Watanzania na si vinginevyo.
Hongera sana Mh Rais Magufuli kwa kutuondelea hii kadhia ambayo ilikuwa ni cancer kwenye Taifa na kufikia kuwa kila kitu ni "Business as usual".
Hii tumbua tumbua ipo siku Viongozi wote wataelewa Uongozi ni dhamana kubwa unayoaminiwa na Taifa kwaajili ya kutumika na sio kwenda kujipatia "UKWASI".
Sent using Jamii Forums mobile app
Awamu hii ya tano chini ya Amiri Jeshi Mkuu Dr John Magufuli Uteuzi wowote jua Kwamba kipambaumbele chako ni kwenda kuwatumikia Watanzania na si vinginevyo.
Hongera sana Mh Rais Magufuli kwa kutuondelea hii kadhia ambayo ilikuwa ni cancer kwenye Taifa na kufikia kuwa kila kitu ni "Business as usual".
Hii tumbua tumbua ipo siku Viongozi wote wataelewa Uongozi ni dhamana kubwa unayoaminiwa na Taifa kwaajili ya kutumika na sio kwenda kujipatia "UKWASI".
Sent using Jamii Forums mobile app